My Friends this is the story of my life. May Almighty God help me all the days of my life.
2026-07-21 13:39:23
2
Gen z veteran :
am still in the situation
2026-07-21 13:00:07
1
Lucas Paul 🙏 :
mimi Nina mwaka wa 3 sijarudi nyumbn Wala kupiga simu
kila nikikumbuka yaliyo nikuta sitamani hata mtu mmoja wa nyumbn anitafute wala kujua niliko
2026-07-21 08:17:25
25
Ni Vinny 🚭🚭🚭 :
that's fact's mm nilianza kujitegemea nikiwa class 4 up to now 😳
2026-07-21 15:03:18
1
Yohana :
mimi nina miaka 9 sijarudi nyumbani
inanitia aibu nilisema naenda mjini kujitafuta lakini bado sijajipata 😴😴😴😴😴😴😴😴😴
2026-07-21 18:25:39
15
purry :
n mm sasa adi mm mwenyewe najiuliza mm n kiumbe gan lkn nmeelewa
2026-07-21 04:48:21
21
James G Ndelwa :
Nikishawahi kuishi hivyo kuanzia Mwaka 2010 mpaka 2019 baadae nikachomoka kwenye shida hii.
Nilijisomesha nikatafuta kazi nikaipata na nikiona Simu ya Mama naishia kutuma pesa na si kupokea simu yake.
2026-07-21 19:45:08
10
josphat Cheruiyot :
am the fuckin one
2026-07-21 12:09:40
1
nobody :
huyo na mimi kabisa mpaka baba angu husema mimi nmejizaaa duuh bora hata science imenitetea kumbe niendeleee
2026-07-21 07:47:51
14
Silvanus Tom :
Huyo ni Mimi, sikuwahi ona uzuri wa wazazi na wako hai, Sikuona upendo wa wazazi na Kwa Sasa nikipiga simu mama anapenda kunilinganisha na watoto wengine ambao walipewa msingi dhabiti katika Maisha yao, huniuma sana😭😭
2026-07-21 15:41:44
13
Dalmas The Rich Man🤫 :
huyo n mm kabisa
2026-07-21 07:28:12
9
Mr Wise :
that's a fact 💯
2026-07-21 07:49:55
5
barakaa :
nina mwezi sijaongeya na mam alfu hata sijawahi kummisis hii nikutokana na story ya utoto wang
2026-07-21 15:35:11
1
Aujen :
umenigusa mimi dah
2026-07-22 16:54:47
2
NATE KING BARBERSHOP :
Baba yangu alituacha akaingilia ndoa ingine ya mtu aliyekufa kuliti mke wa mkufi
2026-07-22 09:35:47
1
erickmakaa2 :
nina miaka mbili bila kweda nyumbani ,, juu sina wazazi na atukua tunaelewana na ma uncles wangu na sioni nkieda
huyo ni mimi after wazazi ku divorce nikiwa class 3,waliniacha pekeangu na kila mtu akaenda kivyake,nikakaa wakaja after nmemaliza shule sasa na mimi nikaenda town kutafuta pesa nifanye couse niliotaka , nlifanya na nika maliza sasa miaka kumi na moja ,na wakinicall ni salamu tu na kama wakona shida ya pesa natuma lkn sinanga maogezi, lkn huu mwaka December ndio nataka kwenda nyumbani kuangalia vile kuko
2026-07-21 22:39:26
1
Festo Fredinand :
duh! mbona ni mm sasa
2026-07-21 11:19:18
2
salimkiceto :
duh kweli kabisa
2026-07-21 05:38:16
4
To see more videos from user @bonyavo3034v8, please go to the Tikwm
homepage.