@thekingoftoangoma: #tanzanianitiktok🇹🇿🇹🇿🇹🇿 #kenyantiktok?🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰?❤️🌹❤️ #ugandatiktok🇺🇬 #mozambique🇲🇿 #congolaise🇨🇩 #burunditiktok🇧🇮 #southafricatik

CHIEF MAALAM  DADDy ✅
CHIEF MAALAM DADDy ✅
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 20 July 2026 19:54:30 GMT
24514
1212
53
77

Music

Download

Comments

bupe3320
amai masunga :
thsnk you
2026-07-22 09:27:49
0
rachelbenjamin279
Rachel💐 :
kwikwi ya kulogwa ndo inaua ila kwikwi nayoijua mm haiwezi kumuua mtu kwikwi ni kitu cha kawaida hasa kwa watoto wachanga coz husaidia kutanua kifua upo🤔
2026-07-21 12:39:15
5
mwajabu.musa6
mwajabu musa :
nakwikwi huwa inakuja mtu anapokuwa kwenye sakaratul mauti,hakuna ugonjwa huo kabisa kwa mtu kuumwa mwezi mzima,asilimia kubwa hii uja kipindi Cha mwisho wa uhai,kwa baadhi ya watu.au Kuna ugonjwa huo jamani,maana Mimi sijawahi kusikia mtu akiumwa ugonjwa huo.naombeni mnielekeze na chanzo chake ni nn,na tufanye nn ili kujiepusha na ugonjwa huo.
2026-07-21 07:55:49
2
alex.ibrahim571
Alex Ibrahim :
chief ni moja tu 💪
2026-07-21 06:22:34
1
zuwjat
Zuwjat :
Mie ndoshida yangu
2026-07-21 15:46:40
0
suleiman.magoa
MAGOA TIBA ASILIA :
nakubali
2026-07-21 06:42:13
1
ramsramso65
ramsramso65 :
je dawa ya mtoto mwenye kigugumizi
2026-07-21 11:10:57
1
minagope5
Amina@mina💕 :
Baba yangu anaumwaga kwikwi mpaka sauti inakauka mpaka namwonea huruma
2026-07-21 12:42:54
1
user68787147420275
Lilian alfred :
alikufa shemeji yake na rafiki angu jamani🥺🥺🥺
2026-07-21 11:34:00
0
faddy.boss
DR LIPULIPU :
nakubar kaka
2026-07-21 06:15:49
1
tuluyao
Tuluyao :
Ni lazim awe ndege wa njano au yoyote??
2026-07-21 18:16:29
0
user1139113263009
user1139113263009 :
mkuu naomba unionyeshee kifuu kinaonekanaje na mti wa msegese mi niko shinyanga
2026-07-21 04:09:04
0
user9330711794786
THUSH RAJJ :
kwikwi ni ugonjwa gani
2026-07-21 09:48:50
0
user37744415403871
hawa :
hii ilomkutaga kaka yangu,, nibahati mama lienda kusalimia huko akamkuta anahali hio bila mama sijui ingekuwaje
2026-07-21 09:23:29
1
user997536697517
user997536697517ZENA :
kabisa walah apo nakupa 💯
2026-07-21 19:07:16
0
jamila.ayubu2
Jamila ayubu :
🥰 asate bloo
2026-07-22 16:17:18
0
user4192400511245
nasra rashidi :
dawa ya u.t.i inayojirudia rudia
2026-07-21 21:18:05
0
sherry87962
sherry🧿🧿🇹🇿🇹🇷 :
Mimi piya wifi yangu imemuua🥹
2026-07-21 11:24:23
0
jalihaty.mminge
da jaa brand💞💞💞💞 :
nakubali maalam
2026-07-21 08:10:22
0
alialiathuman
alialiathuman :
Chief malam naomba unisaidie dawa..mtoto wangu ana miaka mbili saii na nusu,, Kila usiku kama yutaka kulala yuanguruma sana na kubabaika ndo alale
2026-07-20 23:38:07
0
williammtambo791
William Mtambo :
hh
2026-07-23 18:02:50
0
lizycollection2
choosen1 by God🦋🧚‍♀️ :
heee kumbe kwikwi ni ugonjwa
2026-07-21 08:51:43
1
mabulabunzali948
Mabula Bunzali :
ok samahan mm kama mm kaka mm nimsukuma nirishakufatiria sanareo nimeamua nawenikuurise kitusikwaubayarakin nikwawematu jee ktk dawaunazokuwa unatuerekeza ss jee ww unapatafaidagan natakanijue kutokakwako kaka sababu dawazako zoteniza uhakikazote
2026-07-21 00:52:49
0
user53014423202750
user53014423202750 :
kwikwi n ugonjwa gani
2026-07-21 09:46:43
0
sango.daudyhamis
💫💥M$0M@ry💝💖💞💯💯 :
𝐝𝐮𝐮𝐮𝐡 𝐮𝐦𝐞.𝐧𝐢𝐤𝐮𝐦𝐛𝐮𝐬𝐡𝐚 𝐦𝐛𝐚𝐥𝐢 𝐤𝐮𝐧𝐚.𝐧𝐝𝐮𝐠 𝐲𝐞𝐭𝐮.𝐚𝐥𝐢𝐤𝐮𝐟𝐚 𝐚𝐥𝐢𝐩𝐢𝐠𝐚 𝐪𝐰𝐢𝐪𝐰𝐢 𝐦𝐨𝐣𝐚.𝐭𝐮𝐮 𝐡𝐚𝐭𝐦𝐚𝐞 𝐡𝐚𝐤𝐮𝐜𝐡𝐮𝐤𝐮𝐚 𝐦𝐝𝐚.𝐦𝐮𝐧𝐠 𝐚𝐢𝐥𝐚𝐳𝐞 𝐦𝐚𝐡𝐚𝐥.𝐩𝐞𝐦𝐚.𝐩𝐞𝐩𝐨𝐧
2026-07-20 19:58:11
0
To see more videos from user @thekingoftoangoma, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About