Kaka vipi kuhusu cryptex/bytnex ambayo trade make ni kwa mikataba??
Je ni valid na usalama wake ukoje
2026-07-29 09:43:02
0
mwikoki. :
kaka unatrade crypto via spot trading au future au una invest pekee.
mimi shida yangu ni technical analysis kaka na kutumia trading view kuexcute trading ila basics zingine najua kiasi, ivo naombaa kujua unaweza kunisaidiaje.
2026-07-21 04:49:02
1
Muhabeshi 2 :
mm naomba forex trading
2026-07-21 06:47:41
0
Rodger Ushindi :
nakuelewa sana Kiongozi
2026-07-30 15:37:27
0
ngoosha tz :
naomba unifundishe
2026-07-21 17:09:59
0
daremo_tz :
Hapa ndo mahali sahihi sasa..
2026-07-23 13:54:45
0
jm :
kwenye crypto najua tu kununua na kuuza but kutrade sijajua
2026-07-21 06:10:13
0
Alexsanga201 :
naomba kujua jinsi ya kuuza coin
2026-07-21 03:59:19
0
Alexsanga201 :
🔥🔥🔥
2026-07-21 03:47:42
0
To see more videos from user @coach.sapi, please go to the Tikwm
homepage.