Ushauri wangu kwa hao mashekhe ,Na hii suna ya mtume ya kuowa wake waengi wasiendekeze madhara yke ndio hayo kuowa wanawake wasio na maadili hebu wafate suna nyingine.
2026-07-21 11:34:33
7
masha :
haikupaswa kumtoa shekhe ghafla km walivyomfanyia ni km waliandaa hilo jambo
2026-07-21 10:32:18
5
user8415681030776 :
TULIOKUWA HATUJUI KIREFU CHA DNA TUPOOOOO
2026-07-21 16:24:53
1
KHADIJA❣️💝💞 :
Yani leo ndio nmesikia maneno ambayo yameniridhisha moyo wangu mungu akubarik na akutangulie popote ulipo
natamani sijuwi niufanyeje ule msikiti kila mtu tukose
2026-07-21 19:25:16
0
user2607994925916 :
upo sahihi shekhe nikweli mtupu
2026-07-21 18:04:28
0
Jemedar Mohamed :
sheikh Bakoz au sheikh wangu umegusa ndipo, hawakutumia kanuni hitajika katika hilo suala, kisha walihukumu kabla ya utafiti kisha wanaleta tume ya utafiti saii baada ya kuhukumu,, kanuni na sheria zote duniani zakataa,tuhuma haihukumiwi juu Kwa juu mpaka ithibiti dalili kamili ya hizo tuhuma
2026-07-21 17:25:38
0
Sophia Msumi :
kabsaaa
2026-07-21 08:00:25
0
Ghost{ff}max :
kweli kabisa
2026-07-21 19:23:55
0
azizaalli89 :
swafaktaaaa
2026-07-21 11:48:17
0
hajishemputa :
hiking chuma nakikubali sana
2026-07-21 12:42:56
0
halumii2 :
swadakta upo sawa kabisa kabisa
2026-07-22 17:10:37
0
MNGUMI SMART COLLECTIONS :
safi sana sheikh umeongea hisia za watu wengi sana umetuwakilisha sisi am ao hatujapata fursa ya kuongea na media
2026-07-22 14:09:04
0
umu khalid :
bro umemaliza umeongea ukweli jabsa
2026-07-21 14:34:26
0
Da Ray :
Asante kaka tumeumia sana
2026-07-21 16:15:02
0
masha :
kweli kbsa kakaangu
2026-07-21 10:29:47
0
To see more videos from user @radhiyallahuanhuma, please go to the Tikwm
homepage.