@_zuzaism: Part 149 | Tunazungumzia jinsi maneno si sauti tu bali ni teknolojia ya uumbaji yenye nguvu ya kubadili muundo wa chembechembe na frequency ya seli zetu. Tunaeleza kuwa kila neno tunalotamka lina uwezo wa kujenga au kubomoa, na kwamba kwa kubadili lugha yetu tunaweza kubadili uhalisia wetu. Tunahimiza kutumia maneno kwa umakini na nia ili kuvutia matokeo tunayotaka, si kujiweka kwenye mzunguko wa chini wa nishati. #creatorsearchinsights #fyp #zuzaism #words #positivity

zuza
zuza
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 21 July 2026 12:00:00 GMT
20538
2721
90
245

Music

Download

Comments

user7997837605399
Justin Mwasele :
mbona kama mimi nikisema tajiri utajili hauji ila nikisema mm masikini umasikini unakja ?? hapo imekaaje mkuu!!
2026-07-21 18:01:08
1
prof.idid.mgiriki
prof idid Mgiriki :
vipi kuhusu mabubu?😊
2026-07-21 18:27:40
3
bros_before_hoes96
B_B_H✌️😈 :
video km izi zinanifanya niamini mungu cuz vitabu vyote vya mungu viliongelea watu watakuja na kumkata yy sasa ni bora uamini utabir wakitabu cha miaka maelfu kuliko yoyote sasa
2026-07-22 08:54:21
3
user2242612271065
pappayake mafresher :
hata huyomungu wavitabu inasemekana ariumba kwamaneno kwaio maneno tunayo tamka yanaumba au yanaweza kuharibu unachokiongea niuhakika👍🙏🇧🇮
2026-07-23 09:38:28
2
hancy6931
hancy :
kikwli una tufungua ubongo
2026-07-21 12:53:55
8
iamalex071
Mvamba Jr :
2026-07-21 12:59:31
2
musamwaky
Musa Mwaky :
The Great Thinker ☺️🔥
2026-07-24 14:07:35
3
kenyattatz29
Kenyatta_tz 🇰🇪🇹🇿 :
peace
2026-07-21 12:05:13
3
thelumen16
Mr oneness :
affirmation
2026-07-21 20:43:41
1
jamesmugambi150
james mugambi :
kweri bro
2026-07-21 17:11:06
2
junior.ps.14
junior ps 14 :
hii ina ukweli kabisa
2026-07-21 15:41:15
2
prosperjn
Prosper, JN ✅️ :
Maneno yanaumba👏👏
2026-07-21 19:34:11
1
issa.salum2
@issa.issa.salum2 :
👍✌️👍✌️👍🥰nakufatilia kutok burundi 🇧🇮
2026-07-21 16:22:47
2
hollokibishi
hollokibishi :
Thanks
2026-07-21 12:58:28
3
closet.bank
CLOSET BANK :
Mimi Ni boss mkubwa sana!!!😂
2026-07-22 07:12:53
2
petrokabango
Peter kabango :
dah kaka 🤔🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡
2026-07-21 20:33:11
1
emmndamba0
E@MNDAMBA :
Hata NGUVU ya maombi huwa ni lazima uanze na kujisafisha Kwa kusamshe kisha Jenga Kwa akili safi na Kwa Imani nakuelewa mnoooo
2026-07-21 16:14:40
3
msemakweli70
STEVEN NP :
Balikiwa sana
2026-07-21 16:37:04
2
user9613002173129
Never give up :
NAkukubali sana teacher
2026-08-04 20:16:53
0
user4985514085476
user4985514085476 :
That is metaphysics few will understand
2026-07-28 11:05:56
1
moses.mgimwa4
Moses Mgimwa :
nimekuekewa
2026-08-02 15:41:19
1
sindato.oletiya
SINDATO OLETIYA :
safi sana kaka
2026-08-01 06:25:05
1
ayubu2628
ayubu26 :
kabisa
2026-08-04 17:42:24
1
2boys_tz4
Mr Fadhily :
Sorry Mr prophesa, Naomba kujuwa sources ya maneno yako.
2026-07-30 08:24:46
1
kaka.admin_official
MSAJILI VYETI VYA KUZALIWA :
2026-07-21 12:59:22
2
To see more videos from user @_zuzaism, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About