@manhajisalafi09: NASAHA#JAMAAT TABLIGH hili ni kundi la upotevu halifai kusuhubiana nalo kundi lolote ambalo linaenda kinyume na sunnah halifai kushirikiana nalo

ABUU SHAZDA
ABUU SHAZDA
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 21 July 2026 06:27:04 GMT
21858
724
132
154

Music

Download

Comments

mpili.kassim42
Mpili Kassim :
Katika makundi yalozuka ikiwemo pia hili kundi la Salafi na lao pia kundi la motoni pigoa msitari hapo
2026-07-21 12:32:57
23
hamicabdullah230gmail.co
hamicabdullah615 :
mimi binafsi nilipata Elimu kutoka kwa Tabliq kama sio wao Leo nisingeelewa dini yangu
2026-07-21 18:23:58
22
user5058781619665
user5058781619665 :
wewe upoo kwenye kud gani
2026-07-21 16:34:23
3
wahondogoog1
Wa HONDOGO og :
watu wanapigania dini mnawaita makafili 😂😂😂duh huzuni kubwa
2026-07-21 15:42:10
7
user96969718313698
allychabala99 :
kwani maana ya tablighi ni nini
2026-07-21 21:49:18
2
mwangu86
Mwangu :
kama kigezo ni elimu basi ninyi mashekh, mbona hamuweki kundi kama hilo ili hao wasio na elimu wasitoke, huenda kwa kuwa ninyi wenye hamtoki ndo maana wao wanatoka, hube tupe jibu, je ni Mtume hakufanya hivyo au wao kuna mambo wanakosea wanahitaji kurekebishwa?
2026-07-21 13:48:05
4
othmanimasele
Othmani Masele :
kwani tablighi kazi yao kubwa ni kufanya nini?
2026-07-22 13:16:21
1
wakidab
BrWakid :
kwani lazima muislam uwe na kikundi.
2026-07-21 17:26:38
2
allymohamed297
abubakari :
sarafi mtihani kweli kwani ukifikisha ata aya moja umekosea wakat mwenyewe anasema nifikishien ata aya mmoja
2026-07-21 14:09:13
3
mwanahamisukwama
mwanahamis ukwama :
katika tabligh wapo wengi wenye elimu pia msiwavunje moyo watu wanaowaita watu ktk dini....mtume amesema fikisha kutoka kwa japo aya moja...kumlingania mtu sio hadi elimu.....mbona ktk misikiti mnaswali na watu hawana elimu mbona hamuwafundishi....tumuogope Allah mashekh
2026-07-24 18:54:21
0
bakarihemed849
YAA DHALQUWATIL MATIN :
Asalam Aleyk Usipende kuongea Kuwainguza,Watu Motoni Umeulizwa Mtume Muhammad saw Hakutoka kuwalingania Watu?Acha kuongelea Kazi toa Ushahid wewe unaeelewa
2026-07-21 15:20:08
2
mohammad.buya
Mohammad Buya :
Sasa shekhe hapo Kuna bidaa gani jaman watu wanaeneza dini
2026-07-23 03:27:25
0
letoya746
@Letoya :
Sheikh wangu, mvivu hawezitaka kutoka Kwa Mali yake na nafsi yake kuleta dini ilyo kamilika ndani ya maisha yake, ila Kwa kupitia mfadhili.
2026-07-21 20:18:36
4
term085
term085 :
je kundi lenu ndio kundi sahihi
2026-07-22 02:24:27
0
user3109405029215amirsap
amir sap :
kuwalingania watu wende kusali kunataka elimu kiasi gani naomba unambiye
2026-07-22 04:43:30
2
maalim.g3
Maalim G :
twambiee,maana ya tabligh ni nn?
2026-07-22 05:57:03
1
draboukhalid
Dr. Abukhalid :
watu wa tablekh kawaina mtume ktk safar ya miiraji
2026-07-22 08:39:30
1
user96969718313698
allychabala99 :
tablihi imetulea nabado inatulea imetutoa kwenye mazingira mabov
2026-07-21 21:47:51
8
aliy.kyt
Aliy Kyt :
lakin tabligh sio kikundi
2026-07-21 16:28:20
2
hussainmaula920gm
[email protected] :
SHEKHE UPO SAHIHI KABISA ILA MOTONI AU PEPONI NI ALLHA NDIO MJUZI ZAIDI .
2026-07-21 11:46:05
2
bakarihemed849
YAA DHALQUWATIL MATIN :
Kwani Bwana Mtume Muhammad saw Alipompa Taarifa Sayidna Abubaqar RA Kuwa yeye ni Mjumbe wa,Allah sw Je Sayidna Abubaqar Alifanyaje ?Je hapo Abubaqar Alikua amesema wapi ?
2026-07-21 15:22:06
1
mohamed.mazrui5
Mohamed Mazrui :
kwani dini mpaka iwe saudia
2026-07-21 18:32:58
2
mwanahamisukwama
mwanahamis ukwama :
tabligh ndio mwenendo wa kweli wengi tabligh wakifa wanatoa shahada.....
2026-07-24 19:01:23
0
nana.juice1
NANA juice :
sema mashekhe mnatuchaganya sisi tunao soma dini😁
2026-07-24 10:15:27
0
ibn.kitwana
IBN Kitwana🐊 :
dah wallh masalafi uchara munahoja yakujibu mbele ya allh
2026-07-21 16:10:22
0
To see more videos from user @manhajisalafi09, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About