afu kuna mwana mmoja anaitwa samweli aliitwa na Mungu mara tatu ndo akaitika...ukiachana na samweli kun huyu muhun petro alimkan yesu mara tatu had jogoo akashtuka ikabid awike😅....afu kuna mwamb mwingine anajiita Yuda jamaa anathamin pesa Sana akaamua kumuuza yesu Bhan dah afu kuna huyo anajiita kaini alimuua mwenzie mung alipomuuliz yupo wapii mwenzio jamaa kajib Mim sio mlinz wake ...😅😅
2026-07-21 15:50:42
497
abel ze best :
Kuna mwamba aliulizwa na mungu Yuko wap ndugu yako akajibu Kwan mm ni mlinz wake
2026-07-22 07:14:13
205
lily🥰🥰 :
na kuna daudi aliemuua askari wake hodari ili amchukue mke wa jamaa😅
2026-07-22 12:44:18
97
maney official 954 :
ata yesu nae alikuwa na majibu alipo itwa na wazazi wake akasema mama na baba yangu niwale wanaosikiliza neno la mungu na kulitii😂😂
2026-07-22 12:08:57
90
clara@❤️💌 :
Alafu kuna watu mnasema tuna majibu mabaya, mnakumbukq kaini alimjibu nini yesu?🤭
2026-07-22 11:05:32
46
miriana :
ila nimependa huu utani wa kwenye neno la Mungu
2026-07-22 09:09:23
62
Divine🕊 daughter's👸 :
kuna mwamba huko yakobo alipigana na malaika usiku wote na akashinda na akawa bado anangangania asiondoke mpaka kieleweke😁😁😁😁😁😁😁
2026-07-22 06:45:55
67
Lulu :
Kuna Miriam aliemsema wifi yake hadi Mungu amkamp ukoma . Wasengenyaji oyeeee! 😂
2026-07-22 11:20:45
45
MommDee’s❤️🦋 :
Kwa yesu raha unatumwa bila nauli 😅
2026-07-22 21:01:15
28
am_gene_megamind_NBA :
Ivi kwa nn Cain sadaka yake mungu alikata kutoka kwenye biblia Manake sijawai kuona kwenye biblia sababu ya mungu kutaka sadaka ya cain
2026-07-21 18:28:01
7
Alex minja✝️🇹🇿🍸🎮💟 :
yesu Ana pitia comment 😂🥰😅😅😅😅😅
2026-07-23 07:52:57
8
Beria Majinge :
Leo umetenda jema sana, maana tumepitia biblia bila kupenda barikiwa sana🥰 🥰🥰
2026-07-22 12:45:05
32
vee_scents_beauty :
Mmemsahau yuda eskariot yy aliona amuuze mwamba Yesu kabisa😭😭
2026-07-22 21:36:51
13
Emmanuel Yonna :
NASIKIA MZEE WANGU ANA TRENDING SANA HUKU NINI KIMETOKEAA😂🤣🤣🤣🤣
2026-07-22 13:06:46
16
ln :
achana na hao Kuna yule Adam alipoulizwa na MUNGU ukowap akajibu yule mwanamke ulienipa😆😆😆
2026-07-22 20:02:56
10
momo😜 :
YONA vitu vyangu kabisa
2026-07-22 11:44:27
9
Lucy enock :
😄😄😄 mmenifanya siku yangu ianze Kwa furaha maana sio Kwa comment hizi 🤣🤣
2026-07-23 06:07:11
7
Christ Habitation :
Tuwe tunasoma maandiko jamani, hata kama ni post ya kuokota mtandaoni.: Yona hakutumwa kwenda Kaanani, alitumwa kwenda "Ninawi" yani "Nineveh"
2026-07-22 18:14:32
60
Mzanaki :
KUNA MWINGINE SLIITWA NA MUNGU MARA TATU NDO AKAITIKA
2026-07-22 10:03:03
29
g dé beauty🦋🦋 :
watu wanajua nimelipenda beat kumbe nasoma comment 🤣🤣
2026-07-22 09:43:51
25
Muhenduru Shao :
Alimpa nauli???
2026-07-22 06:48:24
33
SHUNNY VIFAA VYA UJENZI :
Musa mbabr kweli kweli alimwambia Mungu Usipoenda nasi sisi hatutatoka hapa😄😄
2026-07-22 10:00:31
29
The only one ☝️ :
Achana na huyo kuna Musa alijidai awezi kuongea kumbe ilikua kiburi akashtukiwa akaambiwa haijalishi nenda na haruni kwa Mungu hakuna sababu utaenda kazi kazi
2026-07-22 22:54:28
9
Yunaithama♥️ :
Kumbe kujiamulia mambo kulianza zamani cyo kanani na ww ninawi bhan🙏
2026-07-21 12:44:52
67
To see more videos from user @dianaadonias774gmail.com, please go to the Tikwm
homepage.