Mimi Kwa maoni yangu daladala zisiingie mjini,zinazotoka kaskazizi ziishie kwanyanya apo wanaingia kwenye mwendokasi wanakuja town area,Ivo Ivo Kila sehemu kunakuwa n kituo Cha kupokelea abiria naamini patapendesa xn ila nauli t zisiwe kubwa zakutisha ziwe z wastani kulingana n Hali zetu wananchi inshallah Tutafanikiwa,Mungu ibariki Zanzibar n watu wake Aamin
2026-07-22 10:59:36
5
officialbabycham :
school bas izooo za Bure
2026-07-22 01:06:11
1
user79051109709373 :
Kwanza zimalizwe izo barabara
2026-07-21 20:46:35
2
mm :
kwaza chukuen wanafunz kwa muda wa wiki km kwl mnawapend watt
2026-07-21 13:41:20
2
MITI SHAMBA NA MIMEA TIBA :
mwendo kasi zipo dar tu UDART NA MOFAT hizo ni Guta kama guta nyengine za umeme
2026-07-22 16:55:57
0
Yuzoboy002 :
kubdilika kwanzanzbar nikuwa nhalingumu yauchumi maisha nihali mpk kwaraia
2026-07-22 14:36:22
0
NITRATE :
school bus
2026-07-21 17:29:02
1
arshed :
bless Zanzibar maan wanafunz wanteswa kwenye daladala
2026-07-22 15:53:12
0
To see more videos from user @mr.caution18, please go to the Tikwm
homepage.