Ambae yupo tayari kuutafuta uso wa Mungu na kusimama katika msingi wa neno njoo tuungane pammoja
2026-07-22 11:38:20
206
Only Jesus🙏🏼❤️ :
Kwan Mungu anatak kuniambia nn kwa habari ya unyakuo kila nikisem nisrow nakutan na video ingine ya kuhusu unyakuo
2026-07-21 13:15:42
80
Rebeka Tajiri :
mm ni mmoj kati ya watakao nyakuliwa Kwa jina la yesu kristo Amina🙏🙏
2026-07-29 21:05:14
19
breezy boy TZ🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 :
una nitisha kk maan mm juzi pia nmetoka kuota ivo ivo🫢🫢
2026-07-26 22:30:28
9
edch🥰😘 :
ee mungu wangu nipe mwisho mwema mm
2026-07-21 18:37:49
30
0769123147 :
wana wa MUNGU tunatakiwa tuokoke tuache dhambi YESU anasamehe
2026-07-29 18:33:18
7
phily@003 :
nkweli yesu yuko karibu, pia mimi ni mmoja wao niliona maono ya yesu anashuka akiwa mawinguni na cku iliyo fatilia akaja kuniita kuniambia nitengeneze maisha yuko karibu🙏🙏🙏🙏🙏
2026-09-05 21:48:54
1
merrymerry7611 :
me mwenyewe nimeota yesu anarudi lakin watu walikuwa hawajali Kam vile hawajuwi kitu
2026-07-22 05:22:08
18
catelina@.. :
Yesukristo nisamehe,nipe mwisho mwema Mimi pamoja naFamilayangu 😭🙏🙏🙏
2026-08-12 13:48:36
10
Fravian33 :
oya bro. mh! inatisha sana yani. kwa kawaida mtu hawezi kuelewa. ila ni hofu ambayo haipogo.. Yesu mwema tujalie kuutafuta uso wako daima.
2026-07-21 17:28:02
21
Namayani James :
uuwiiiii naogopa nikisikia habari hizi,, YESU nisamehe
2026-07-22 09:20:29
5
movicjocks :
daah alf kuna watu hata kuokoka bd hatuja weza
2026-07-28 05:08:57
5
Bupe kifuna :
Mungu nisaidie nipe nguvu niutafute uso wa Mungu 🙏🙏
2026-08-15 19:53:12
4
e :
ukiongea jambo la maana toa mziki tusijilize vizuri huo mziki wa nini
2026-07-22 05:00:05
8
prophetese Alicia muta :
watu hawataki kuelewa kwaba tuko wakati wa mwisho ,lakini yesu anarudi karibini ,jidae ndugu zangu tubuni ili yesu akirudiya tunyakuliwe wot🙏🙏🙏
2026-07-21 18:42:42
9
Y@ung Minister tz :
Kaka hiyo ni kweli kabisa👍 hata me Mungu alinionyesha hizo ishara hizi ni nyakati za mwisho 🙏🙏
2026-07-21 17:40:38
6
Richard Amosi :
ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
2026-07-26 04:35:32
1
Neema Nadoo :
Mimi nimekuelewa zaidi Jesus son...nawaomba wote mnaoandika unapoandika Yesu, ukiianza na herufi kubwa itapendeza zaidi ndugu zangu YESU NI JINA KUU KUZIMU INAJUA NA KUTETEMEKA TULIPE HESHIMA YAKE