@greenherbs_africa: Makosa matatu hufanya wagonjwa wa acid reflux soma ujumbe huu utakusaidia. Makosa haya ndiyo sababu ya watu kukaa na changamoto hii kwa muda mrefu. Soma post hii mpaka mwisho itakusaidia kukufanya uepukane na kupona acid reflux. Kwanza acid reflux ni hali ya kurudi vitu vya tumboni kupanda kwenye njia ya chakula (umio) na hata kupanda kwenye koo. Na ndiyo sababu ya kuleta madhara ya kuumia kifua. maumivu upande wa moyo hadi nyuma ya mgongo. Kuhisi makohozi na mafua yasiyokwisha. Kupoteza sauti na wengine hufikia hatua ya kuhisi kupigiwa makelele masikioni. Kosa la kwanza ni kuamini acid ni tatizo inawezekana acid kuwa kidogo tumboni ndiyo sababu ya kuleta madhara kufikia hapo yalipo leo. Acid ikiwa ndogo inaweza kuleta shida ya umenvenyaji chakula kukaa tumboni kwa muda mrefu na kuzalisha gesi na hii ndiyo sababu ya tatizo la acid reflux kutokea. Kosa la pili kushindwa kuhimili presha tumboni. Prssha inaweza kutokea kutokana na maisha ya kila siku namaanisha ulaji,vyakula vyenye gesi mtu kuwa na kitambi hata wale ambao wanalala baada tu ya kula. Lakini presha inaweza kuongezeka kutokana na gesi kuzalishwa kwa wingi baada ya umengenyaji kuwa chini hivyo chakula huoza na kuletagesi presha tumboni kuongezeka na kulete shida ya acid reflux. Kosa la tatu ni kushindwa kumanage msongo wa mawazo. Kwa mawaida msongo wa mawazo unaweza kuathiri mfumo wa fahamu. Hivyo zile pera symphathetic zikishuka moja kwa moja mfumowa umengenyaji hushuka pia. Hivyo mtu anaweza kupata changamoto za tumbo na hata hii shida ya acid reflux pia. Sababu hizi huleta presha kwenye kizibo kinachozuia chakula kisirudi mdomoni (esophageal sphincter) na kufungua na kuruhusu acidi na chakula kutoka tumboni na kurudi kwenye koo. Na baadhi ya watu waliopuuzia wamepata madhara ya saratani ya umio na hata saratani ya koo. Chukua hatua kuanzia sasa na jitahidi kuzuia makosa haya sasa. Kama umekuwa kwenye shida hii kwa muda mrefu na umehangaika bila mafanikio @greenherbs_africa tunaweza kukusaidia. Tupigie sasa 0676111666. fika fiisini kwetu leo tabata dar es salaam. #acidreflux #gesitumboni #vidondavyatumbo #tiktoktanzania #tiktoktanzania🇹🇿 #tiktokviral

GreenHerbs_Africa
GreenHerbs_Africa
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 21 July 2026 10:23:33 GMT
4585
109
13
9

Music

Download

Comments

namwanja68
namwanja :
Nitumie no ako
2026-07-23 17:31:15
1
ajaesaid
ajae 😘 :
dawa zinaanzia bei gani
2026-07-23 14:03:45
1
yassirsuleiman_12345
yassirsuleiman12345 :
dr mim siumwi koo mim moto tumbo la juu na mgongo tu hofu waswas mwili hauna nguv ni nini
2026-07-22 06:27:55
1
michigo90
user9185124151883 :
Asante sana doctor naitaji dawa mnapatikana wap
2026-07-22 13:39:54
1
princessaishy2
Princes🤍 :
Asante sana doctor dawa zenu nzur sana zimenisaidia kwa Kias kikubwa sana mbarikiwe🙏
2026-07-22 13:04:40
1
harmony831
Harmony Manento 666 :
hiyo ndo shida yangu
2026-07-23 19:58:26
0
user5129781359950
user5129781359950 :
mm nnachangamoto ya Acid
2026-07-21 20:11:33
1
namwanja68
namwanja :
Nitumie no ya wsp maana nipo nje
2026-07-23 17:32:09
1
namwanja68
namwanja :
Mm muhanga wa Asid
2026-07-23 17:31:26
0
user5129781359950
user5129781359950 :
mnapatikana wap
2026-07-21 20:11:15
1
user6293458796949
talatibo :
nyinyi dawa amuna
2026-07-22 08:56:24
1
lil.drex83
Lil.drex💫 :
dawa bei ngani
2026-07-23 21:11:21
0
To see more videos from user @greenherbs_africa, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About