Nduguyangu napenda hizi Mada zako zauchambuzi wakina kwahizi historia utuletee kilasiku
2026-07-26 06:05:04
1
ukende ben Israel :
amen 🙏🙏🙏 wabantu wanaisrael amukeni
2026-07-26 19:16:21
1
Mkristo :
rasta wahehe ni watoto wa nani
2026-07-26 20:22:25
1
Mizani_ya_Imani :
kuchanganyakiwa ndo huku
2026-07-27 18:30:46
0
I man mongoli :
baba hapo Kwa Swahili Rasta sio kweli...Swahili au waswahili ni watu WA inchi kavu..mbayo inchi kavu karibu na Bahari maana yake ni sahel..tuko huku kwao ss.
Sasa nakuuliza ivi hakuna ata maandiko ndani ya biblia inayo taja waharabu?
2026-07-26 06:21:43
0
Jcobra :
mh hatupigwi uko msiende
2026-07-25 21:57:25
0
USAC ENGLISH TRAINING :
Muulizaji unamkatisha sana huyo jamaa. Vitu vingi akitaka kuelezea unamkatisha.
2026-07-25 21:18:39
0
Sanya Scott. :
❤️❤️❤️
2026-07-25 20:44:20
0
Chris :
Strong’s H4406 ni namba ya neno la Kiaramu (Aramaic) katika Biblia (kwa sababu baadhi ya sehemu za Agano la Kale ziliandikwa kwa Kiaramu).
H4406 = מִלָּה (millah)
Maana zake:
* Neno
* Kauli
* Usemi
* Jambo / habari / taarifa (kutegemea muktadha)
Linatokana na Kiaramu, na linafanana na neno la Kiebrania מִלָּה (millah) lenye maana ya “neno.”
Mfano wa matumizi:
* Danieli 4:31 (katika sehemu ya Kiaramu ya Danieli) linahusiana na “neno/kauli” iliyotolewa.
Kwa hiyo:
H4406 = Millah = neno, usemi, kauli (Aramaic).
2026-07-26 11:44:09
0
To see more videos from user @sub_sahara_israelites_tz, please go to the Tikwm
homepage.