@babshizo:

Hassan
Hassan
Open In TikTok:
Region: KW
Tuesday 21 July 2026 10:40:57 GMT
28048
533
77
420

Music

Download

Comments

saumu.juma58
Saumu Juma :
heavy commercial zko ama
2026-07-22 01:15:31
0
mesayz0
bby 🥰🥰mesa🥰🥰 :
naomba no yako plz
2026-07-22 04:57:04
0
the.special.one2425
The special one :
Katika ma Agent wote wa Mombasa Abdul ni wa kipekee na sina shaka nae namfahamu vizuri sana na hana ubaguzi
2026-07-22 09:27:23
2
oumsaeed1
🦋 أم.سعيد🦋🍁 :
siamini mume Wangu ashvunjika Moyo n hizo interview wapita vizr n huchukiliwa Kuna watu wao washaekwa maagent wameek pesa mbele Sio utu Kuna n kufa
2026-07-21 20:10:14
8
mr.gably
Mr.galby :
nilifika huu mwaka watatu nasubiri simu mpka Leo mpka cv zangu hamujui mumeweka wapi
2026-07-22 03:24:17
2
rahiluzuberi
rahilu zuberi :
commission ni ngapi
2026-07-22 09:05:04
0
mammyray7
mammy rey :
kw abdhul ndio wapi wengine tuna kaka zetu
2026-07-21 23:10:54
1
babshizo
Hassan :
Allah ndio hutoa rizik na ikiwa yako imeeandikwa hamna mtu wakuizuia kwa wale walofika office wakapata changamoto au kutopigiwa simu ni sababu kua rizik haijafika ila msikate tamaa inshallah tuzidi kuombeana dua na tuamin katika kadar na allah
2026-07-22 04:31:13
4
fatumazanni
ummuh ruqya :
my husband aliwahi safirishwa alha.dullillah sio uongo
2026-07-22 04:34:41
4
idijuma.abdul.far
Idijuma Abdul Faraj :
mashallah Abdul ni agent mzuri Sana Hana ubaguzi,ni mtu wazamani Sana kwa hiyo KAZI Hana ufisadi kwa hiyo vijana wakajaribu.
2026-07-22 05:36:41
1
dancetrending8
kicks#E :
ni kweli ama??
2026-07-21 13:52:02
0
mkaidi3
Mkaidi :
Hio niukweli kabisa lkn dereva ndio wanachukua coz my husband amesafir kupitia hio almarai agencies
2026-07-21 23:50:19
0
user7517029481390
user7517029481390 :
na mshahara ni ngapi? mbona hawakusema?
2026-07-21 19:23:31
1
rahima6014
BEIB MAMA❤🫦❤️ :
Niko na mtu lkn passport yake haija toka ila kukiwa na nafasi kama hii niambie bro sawa
2026-07-22 08:10:01
0
garow58
garow :
wanpeleka wapi alfu kuna kazi gani iko
2026-07-22 07:06:55
0
jaysela254
jay sela :
jazakallah Khair
2026-07-22 04:39:00
0
babshizo
Hassan :
Kwa wale wamefika Leo office waambiwa kazi ni driver pekee msivunjike moyo nendeni tena inshallah mtafaulu lot zipo tafauty
2026-07-21 16:31:29
1
babshizo
Hassan :
assallam aleikum,please inbox imejaa kma mwataka kazi hizo tushapost stoweza jibu inbox kila mtu maswsli yote fikeni officini HR connection maswali yote tutawajibu muhimu subra na imani shukran💪🏼💪🏼🤲🤝
2026-07-22 09:47:32
0
mtengwa45
𝑝𝑜𝑜𝑟 𝑏𝑖𝑙𝑙𝑖𝑜𝑛𝑒𝑟 :
kitu kidgo lzma muhimu inshaallah ntafika 29 experience stell bado niko nayo
2026-07-21 20:38:53
0
rukee_dlee
Barbie :
kwa abdul ndio wapi
2026-07-21 20:23:30
0
noorkhan_khalid001
Noorkhan _khaleed. abdalllah :
je mtanzania aweza chukuliwaa? akiw n passport yake
2026-07-22 11:33:15
0
bilushithatha
bilush thatha :
hamna za waschana
2026-07-22 09:48:54
0
ndimu_berry
Jasho_Languu :
wsalamu bro...thanks kwa useful info.almarai waja na jobs gani.thanks
2026-07-21 20:35:09
0
omarmohmed274
omarmohmed274 :
kazi Gani?
2026-07-22 02:49:35
0
abuu_autofixgarej
Abuu Auto Fix Garage :
mpaka ukue na ce ama ukiwa na bce
2026-07-22 06:08:54
0
To see more videos from user @babshizo, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About