Fatima Iddy :
subbuhannallah,,, wallah niaibu,,,sasa kama yapo wazi hivyo kwa nini wasiwekwe kando bakwata likavunjwa likawekwa utaratibu mwingine,,,ndio maana hawaoni hata vibaya kuwekeana fitina,,,haya sikieni hizo aibu mungu wangu,,,yaa Allah tupe viongozi wenye hofu,,hawa wabakwata hofu tena hawana,,, mtihani yaa Allah duh,,🙄
2026-07-22 10:36:43