sitasahau mama angu alikuwa anaumwa na akapelekwa hospital kaa miez7 ananipigia cm nipo shule form two anasema muombe mwalimu ruhusua uende nyumbani watu washamaliza kuvuna sahv ukaokoteze mahindi shambani kwako maana sina viatu wala nguo za ndani vimeisha unitumie hela, mtu hawezi elewa jamani mtu ukiwa unasimulia anaona kama anaongea rahisi lakini kiukweli nimeandika comment hii machoz yananitoka😭😭 majirani wakawanasema asingekuwq huyu binti hii nyumba ingesambaratika ila amepambana sana vikoba brack anamichezo kama3 na mm ndo mkubwa
2026-08-09 05:40:52
1
suzeth :
kwa heshima mom
2026-07-22 23:59:18
0
rehabu......me...! :
😭😭😭 hiyo ni simu ya mama angu mwezi wa 6/12 aliomba viatu nilinunua lkn moyo umegoma kuridhika nahisi bado sijamridhisha mama angu......😭😭😭
2026-08-09 06:47:24
0
@m@ :
kwaeshima mama nitanunua
2026-08-10 16:41:04
0
Wilson :
tukumbuke tunapotoka 👊👊👊👊
2026-08-07 16:25:17
0
char's 770 for life 🔥🔥🙏💪 :
🙏🙏
2026-07-21 17:05:47
0
Sikudhani Abdala :
sawa mama
2026-07-23 14:11:07
0
45 🌎 :
dah
2026-07-22 02:27:55
0
It's me hellen🦋🍫 :
love u mom
2026-07-22 22:46:51
0
VIECHA :
nampenda sana mama
2026-07-23 11:16:23
0
zamda :
Usijaliii mama yangu utavaa sana misomali na vitenge vya Duanas
2026-08-09 10:01:06
1
ma t :
najickia uchungu mama yangu alifariki nikiwa Bado cjakomaa akili
daaah naumia sana
jamani
2026-08-07 20:03:23
0
Miss. mollel☘️🍃 :
duuuh moyo wangu umeuma sana dada angu pole eeeeh🥹
2026-08-09 13:58:28
0
To see more videos from user @elimethu63, please go to the Tikwm
homepage.