Kama kuna kitu wabongo tunakifanya bila kujua nakinachangia 98% kufupisha maisha ya injini za gari zetu ni kuongeza maji kwenye rejeta badala ya coolant hata kama ungenunua maji ya kawaida ya bei kubwa ni hatari Kwa injini ya gari lako faida za coolant
1. Ina madini Maalum yanayo Linda engine block
2. Haipati kutu
3. Haipati joto kuzidi jotolinalo takiwa kwenye injini
4. Haigandi hata ukiwa kwenye sehemu za baridi
Hasara za kutumia maji ni kinyume cha hizo faida za coolant
Hatari kubwa Sana ya maji ni zile sehemu zinazopitisha maji zinaitwa water gallery au jacket kupata kutu na kusababisha gari kuchemsha
2026-07-21 15:30:13
15
Daddy A. :
kujaza maji nishajua...bado gari yenyewe😌😌😌😌😌😌
2026-07-21 13:24:15
7
neymosha❤️🦋 :
Adi raha ninunue gar sasa
2026-08-05 09:59:58
0
DAVID KASANGA :
sante teacher nazingatia hyo jambo
2026-07-22 12:03:41
2
EKSA LEONALD :
kaka naombaunifundishe nishigapi
2026-08-07 22:09:07
0
Kelvin_969_ :
Elimu ni nzuri sana kaka ila cha kuongeze next time usiwashauri watu waweke maji washauri wanunue kwaajili ya kupooza engine zao watu waweke coolant sio maji
2026-07-24 15:57:13
0
Yohana Poul :
nakukubali sana
2026-08-08 13:23:28
0
Blessed Girl 🏹 :
ngoja niwe najifunza kupitia wewe maana ndoto ya gari ninayo ndio wimbo wangu kwa mwaka huu
2026-07-22 16:19:03
2
fidelis318 :
Oil mkuuu
2026-08-02 09:03:11
0
cevookemzone :
muhim iyoo
2026-08-05 06:22:05
0
praqdapeace :
ngoja niku follow tu
2026-08-05 07:39:08
0
KIPUNGO :
kwaiyo yakimwagika mwagika hayana mazara na apo palipoandikwa full unayaona kwa ndan anapofikoa
2026-08-05 11:31:20
0
Epimarck Sulle :
hiyo allion unauza mkuu
2026-07-21 14:16:01
0
SINA SHOBO :
hiyo gari bei gani
2026-08-05 12:00:11
0
wa ngofi 💪 :
tuko pamoja mpaka nijue
2026-08-05 14:24:24
0
torenza :
unaambiwa coolant we unaweka maji!
2026-07-21 18:32:16
1
abdallah25455 :
Ukiona gari sasa kisasa inawekwa Maji ya kawaida badala ya coolant kaa nayo mbali
2026-07-22 01:10:28
0
karimmveyange :
NIKUSWALIKE SWALI MDAU WANGU. NI WAKATI GANI NITUMIE COOLANT, NA NI YA RANGI GANI⁉️
2026-07-21 18:57:47
0
❤️ 🚮 :
kaka naomba kujua Toyota IQ
2026-07-23 16:33:20
0
Michael dede :
ukosawa mbwana kaka kuwa mwalimu
2026-07-24 03:46:23
0
Trent Emmanuel :
hiyo gari nikiihitaji shingapi boss
2026-07-24 06:20:47
0
Larce :
asante
2026-08-09 08:49:53
0
BEN & BECKS Ntabaye :
tusisahau kucheki na oil pia
2026-07-26 06:17:15
0
darvdgeek :
kaka hapo ni coolant mzee,maji sio sawa kwasababu ya heating mechanism yake na yanasababisha kutu mwenye engine.Ila una elimisha vzr.
2026-07-25 16:13:47
0
Salum Fahad Jr :
maji au coolant?
2026-07-21 18:14:38
0
To see more videos from user @khalidimagari, please go to the Tikwm
homepage.