@asam.media.group: Nauli zapanda Zanzibar, Daladala na mabasi ya umeme shilingi 700 Nauli za usafiri wa umma barabarani Zanzibar zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 16 kufuatia mabadiliko ya nauli na bei elekezi yaliyotangazwa na Serikali, yatakayoanza kutumika rasmi Agosti 1, 2026. Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Zanzibar, Dkt. Khalid Salum Mohammed, amesema katika viwango vipya, nauli ya daladala imeongezeka kutoka shilingi 500 hadi 700, huku mabasi ya umeme yatakayoanza Agosti 1, 2026 nauli nayo itakuwa shilingi 700. Dkt Khalid amesema Wanafunzi, watu wenye ulemavu na wazee watalipa shilingi 350 na watapewa vitambulisho maalum. Dkt. Khalid amesema marekebisho hayo yamefanyika kwa kuzingatia hali ya uendeshaji wa huduma za usafiri, huku akiwataka waendeshaji wa vyombo vya usafiri kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kupunguza ajali na kuhakikisha huduma bora kwa wananchi.
Asam Media Group
Region: TZ
Tuesday 21 July 2026 13:39:59 GMT
Music
Download
Comments
president of torenza :
tutasumbuana kwenye chenji bora wekeni 1000 tu mupate nyie
2026-07-21 14:24:25
11
Ummu collection❤️🔥 :
Wako wapi waliosherehekea mshara ulipoengezwa sema serekali mnajua kutuchezea akili😂😂😂
2026-07-21 14:39:56
11
bububu zenji :
Mauli 700 Huku 100 Na 200 Hazionekani
Hatujui kwa Nini Nimepotea.
Hii itapelekea Usumbufu kwa Konda na Abiria
Shilingi 50 pia Haipo ,na Ukiipata ishafanya kutu kuishika unahisi tabu
Wekeni nauli 1000 na 500 tu mutuondoshe Usumbufu pande zote 2
Tushazoweya Cc Raia Kila kitu tunasubiri ,Kila Mmoja Umalize muda wake wa Kuishi
Asalam Alaykum
2026-07-21 14:22:41
11
Rayyan Iyyan :
msij mkampandisha n mpenz wangu tu maan😂😂😂
2026-07-21 16:16:43
1
ZUKISA ♌️ :
Pandisheni kila kitu
2026-07-21 14:14:18
1
Yahya :
Sasa unapandisha nauli kwa umbali gn zanzibar jamani hurumieni watu hem
2026-07-21 15:25:50
2
rayshkeykeyraa :
ninachoon hp kwa hark kabla cjaondok hpo toilet ni
nauli zimepand ili kuondoa manen kat ya gar za umem na za kawaida
ili kufanya gar za umem kupata abiria lkn ndio sabab ya kupandish naul
2026-07-21 16:10:38
0
Abuumuadh16 :
mitano tena si mnatak maendeleo nyie
2026-07-21 14:06:34
3
malkia wa afya :
jaman nalia na sukar mm kila 5000???zanzibar hii hiikwengine 4000 kilo moja😭
2026-07-21 15:46:11
0
hepatosplenomegally :
darajan ad kwanyanya 700???
kwa kigezo gan na jee kila kilometer 1 sh ngaap
2026-07-21 15:08:57
0
💫💞 :
mm mia tatu yangu t wanipe
2026-07-21 16:48:32
0
Zawad Mwadini :
wanafunz itakuw bei gan
2026-07-21 15:29:13
0
mmambo :
bor mueke km pba ilipokuw mia tano saiz buku hmn kusumbuwan kutft mia mia mbili
2026-07-21 14:31:29
0
midric10 :
Bora wekeni buku kabis
2026-07-21 13:54:23
3
28.6 29.9 28.10 :
Bora buku sasa kutafuta chenji itazidi kua tabu
2026-07-21 14:44:33
1
loukmansuleiman :
Bora iwe buku chenj usumbifu
2026-07-21 14:40:04
1
cybermax :
yote 9 nd muweke daina nd dalala za zanzibar😳 mungeweka coster bana hii inakuwa aibu walai😂
2026-07-21 14:13:57
0
Immah 🎂 cake🦋🦋 :
sas hv nitanuwa baskel 😂😂😂mwenyew
2026-07-21 18:01:26
0
Mamu Abdallah :
mie natanka iwe 1000 tutapanda
2026-07-21 18:06:21
0
Riziki Moh'd Sisilo :
kwa miguu je bei gani
2026-07-21 17:44:59
0
hakimunassor :
ekeni 1000 tu ili konda asiangaike chenj
2026-07-21 17:19:59
0
cute chama❤🦋 :
zanzibar mutatuuwa jamn hee mtihan bas 😂😳😏
2026-07-21 17:57:47
0
user8272553080323 :
safi
2026-07-21 14:23:18
0
To see more videos from user @asam.media.group, please go to the Tikwm
homepage.