@msbippaofficial:

msbippaofficial
msbippaofficial
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 21 July 2026 16:06:44 GMT
41755
1081
199
147

Music

Download

Comments

buhele4
jimmy :
nice one
2026-07-24 17:53:00
0
leem2024
Leem :
Yani mimi nimemuacha mke. Mahakama inanambia bado inatambua hiyo ndoa? Au mke kadai talaka yake kwa sababu za msingi labda mwanaume anamtesa anampiga hamjali hamuhudumii nyie mahakama mnasema hapana iyo ndoa ipo ata kama una talaka? Hayo mambo watu mpaka kifo kiwatenganishe wanauana kwenye ndoa ni huko kanisani bi mkubwa. Uislam tayari unajitosheleza!
2026-07-24 12:20:52
5
risertours
Riser Tours & Safaris Zanzibar :
ila ndoa haikufungwa mahakamani
2026-07-24 04:42:13
24
massoud027
massoud :
ndoa ni fungamano la kiimani sio la kiserikali
2026-07-24 15:37:34
1
user1634851178001
hassan kuchi :
Mimi nafuata Sheria ya dini yangu sio mahakama
2026-07-24 17:39:50
1
massbdedon
Money hunter 💸💵🤑 :
Unataka kusema ndoa ya kiislamu haitambuliki kisheria? Ni mpaka isajiliwe mahakamani? Kama ndoa inatambulika kwann talaka isitambulike?
2026-07-24 12:22:59
2
alahlam212
mahrez adnan :
masuala ya dini musiyaingilie jamani
2026-07-24 08:46:32
3
beingkiyeyeu
beingkiyeyeu :
Cheti cha ndoa ni Mali ya serikali jamani na mahakama ndo serikali yenyew hyo 😫Naona wengi mnasemaooh mlivyofunga ndoa hamkwenda mahakamani,,kwanza vibali vyote vya kufungisha ndoa vinapatikana serikalini ,alafu shekhe au mchungaji anapewa kitabu chenye vyeti vya ndoa ,vile Sasa ndo mnakuwa mnagaiwa ,,anyway nahisi darasa ni muhimu sana
2026-07-24 10:38:31
2
defensivemd
DMF :
sasa kwann wakat wa ndoa za kiislam mahakama haihusiki ? ila kwenye talaka za kiislam mahakama ihusike ??
2026-07-24 11:04:08
2
user3407366173022
Alhikma bin Nassor :
Sasa kubwa hapo ni dini au ni sheria za kidunia
2026-07-24 13:04:34
1
diana.bernad7
Diana Fashion💞 :
umependaza ila ujapasi vizuri 😳😳😳🥰🥰🥰
2026-07-22 05:41:13
6
mohamedindalogmail.com
MO NDALO :
naomba kuuliza swali Sasa mbona ndoa imefungwa kislm na hatuend tena Mahakamani kupata chet cha ndoa baada ya kufunga ndoa ya kidini
2026-07-24 12:35:12
0
user2237785281433
user2237785281433 :
mahkama wao ndo nani
2026-07-24 14:42:15
0
zuuseif2
zuu.official4 :
Kivip na ndoa haikufungwa mahakamani?
2026-07-24 08:35:57
0
neemamunishi6
Neyney :
kabla hujaniponza huko mahakamani ni bure au nikifika kuna pesa itahitajika😳😳 maan siku hizi hayo majalada ni pesa mihuri ni mingi na pia ni pesa
2026-07-24 12:53:37
2
mr65069
Mr sule :
I understand coz shida inakuja ukitaka kuolewa tena you have to find satafiket ya serekali
2026-07-24 12:33:59
0
tulipvaii1
tulipvailet :
mtajua wenyew
2026-07-24 08:09:46
0
user6394294707784
nill :
huo ni mtizamo wako sio sheria ya dini ya kiislamu inavyoagiza,
2026-07-24 03:40:00
0
ginimbi5
GINIMBI :
mbona wakati naoa sikwenda mahakamani
2026-07-24 07:38:06
0
medy.alpha
Medy Alpha :
Kwanini ndoa iliofungwa kwa taratibu za kiislamu inakubalika kisheria kama ndoa halali, lakini linapokuja swala la kuvunja kwa taratibu hizo hizo ambazo ndoa hiyo ilifungwa isikubalike kisheria kama ndoa imevunjika? I DON'T UNDERSTAND HERE! EBU NIELEWESHWE VIZURI.
2026-07-24 08:43:20
0
queenmarosha21
Roshaphia💕 :
Kwanini inapaswa kwenda tena mahakamani baada ya kuwa tayari umepewa talaka? Ikiwa ndoa iyo ilifungwa msikitini na taratibu za talaka zilifatwa kwa dini
2026-07-24 05:56:48
0
britaingold
Britain gold :
kama ndo hivyo basi sioi
2026-07-24 09:04:00
3
makusanya19
Makusanya :
Ni Moja ya mazingira ya kuingiza changamoto zngne hatarishi
2026-07-24 08:48:26
2
zubeirzubeir291
zubeirzubeir291 :
Suali ni Jee Ndoa Itahesabiwa kua Imekamilika Kufungwa bila Kusajiliwa Mahakamani?!. Ikiwa ni sawa basi hata Kuvunjika inaweza bila kupita Mahakamani.
2026-07-24 08:00:49
1
To see more videos from user @msbippaofficial, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About