@pokomo_vibes: Sikiliza maneno ya Sheikh Mziwanda kuhusu BAKWATA mwaka mmoja kabla hata Sheikh Walid hajatimuliwa katika nafasi yake. Sheikh Mziwanda amewakashifu viongozi wenye tabia ya kufitinisha wenzao . Tukiunganisha na tukio la hivi majuzi lililo mtokea sheikh Walid ndio utapata picha kamili. Tatizo halikua mambo ya mke...ni sababu tu ilikua inatafutwa. #pokomovibes #creatorsearchinsights