@paza_sauti_media: Msanii Click Master amemshukuru Mungu kwa kuendelea kumuinua kupitia Muziki wake akielezea historia yake kwa ufupi, kwamba alisota na viatu kwa muda mrefu kisha Baiskeli na sasa amenunua gari na kupata uhakika wa kupitia sheli. Hajaishia hapo, amepiga goti na kuwaombea wote wenye malengo na ndoto kubwa, Mungu awafanikishie akisihi yakwamba hakuna linaloshindikana mbele ya Mwenyezi Mungu #PazaSautiMedia #SautiYaJamii
kutoka kwenye baiskel hata wiki mwezi haujapita, leo unamiliki gar... tutakufuatilia
2026-07-22 09:57:12
101
mom ✨ :
bd click 2
2026-07-24 08:21:04
0
PRINCE JOSEPH 🙏🙏 :
amen brother
2026-07-24 18:59:48
0
JEUXX :
wow,,congratulations
2026-07-23 13:26:37
0
Janeth Jf :
amennnnnn
2026-07-23 07:26:38
0
umusimbete :
mbn nyie mnawah kufanikiwa hivyo kwan nyie mnafanyaje
2026-07-22 04:54:29
40
Frank Mdach :
USIWATUPE WANAO SASA GARI NDOGO SANA HIYO USIWAACHE WANAO
2026-07-22 04:30:43
27
wa town :
Mona nyimbo zko azisikik
2026-07-22 06:16:14
9
Paulo kiboko yawooh :
nakupa mdogo wangu 🙏
2026-07-22 03:58:35
5
MR AVIATOR :
KAMA UNAFATILIA VIZURI WAKATI WA USAFIRI WA VIATU NA BAISKEL ALIKUWA PEKEAKE LAKINI KWENYE GARI WAKO WENGI DUH KWELI NIMEAMINI WATU WANAKUPENDA WAKATI WA RAHA
2026-07-23 05:11:48
2
SAUTI YA MAWINGUNI :
Kwanini anamshukuru sana Mungu katika kila neno asemalo? ni kwasababu alimwamini sana Mungu katika yote aliyokuwa akipitia na si hayo tu kwakuwa ni mema bali hata kwa changamoto nzito alizopitia bado aliendelea kumshukuru Mungu, hakika Mungu aliye mbinguni ni mwema kila wakati,barikiwa sana kwako wewe unayemwamini Mungu kwakila jambo, usiwe mtu wa laumu
2026-07-22 05:59:13
19
Said no :
hiyo gari kaka angu sio nzuri endapo ikiaza kuzingua
2026-07-22 10:47:19
8
Domi mdogo wetu :
MBONA ULISEMA UNATAKA MAGARI MAKUBWA LISIWE LA CHINI NI HII VIPI