mbona unamshika mtu bila kuvaa glove? au hujui unuhimu wake?
2026-07-22 03:49:31
2
ujamaa :
vipi kuhusu miguu kuvimba?
2026-07-23 21:59:48
0
bashiru 5518881797595 :
doctor vp kwem unapatikana wapi
2026-07-22 11:26:12
0
noahmwandosya549 :
nimekumbuka hiyo stiki daaah mungu akubariki dr.Tange
uliniponya mpaka sasa natembea kama sikupata ajali
2026-07-24 21:16:37
0
Calm boe :
mze3 dislocation inatokea mara kwa mara nifanyaje nipone
2026-07-24 21:09:28
0
komwe :
nyi nanyi kila mtu docta
2026-07-23 21:58:22
0
》fizik¤20Kille@ :
unachokisema aujadanganya ukweli mtu nami nimevunjika apo apo namguu wangu upo ivyo ivyo kuongopa labda mda wakupona tu ila ssa dkt mtu kashapata ajali labda ya boda anakuamaututi kaumia seemu nyingi ivi wanaokusaidia wanawezaje kumleta kwako watu si watawashangaa imekaaje iyo binafsi mi nakuamini sana tu nanilitamani kuja kwako ila nilishindwa
2026-07-23 11:19:45
0
nabil :
bila ivoo sinyanyuki asubuhi
2026-07-23 12:22:41
0
Rama :
hivi mi nilipata crake kwenye goti so natembea vzr tu ila Kuna wakati nahisi maumivu flani hivi je inawezekana kutibu hizo crake maana ni ndogo sana hata kuziona ila nahisi maumivu japo sio muda wote
2026-07-22 18:14:22
0
Saidi Hamidu :
allah akuweke baba mungu akupe maisha marefuuu🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
2026-07-22 17:39:40
0
@4 :
Kuna ndg yang alivunjika UTI wa mgongo vp anaweza kupona kweli maana alienda hospital ikashndikana
2026-07-21 20:47:09
0
Muzne Muzne :
nikwelikaka kaziyako nzuri
2026-07-22 08:20:51
0
Canabaya Stambuli :
nashukuru sana DR TANGI umenipatiba kwenye huu mguu na nimepona
2026-07-22 04:44:26
0
Esther2023 :
Hongera kaka angu kaz yako nzur
2026-07-21 18:59:20
0
nabil :
Mimi sijawahi kuvunjika ila nasumbuliwa na mgongo chini saa nyengine nafanya ganzi na nikifanya kazi ya nguvu mga wa kulala nimeze dawa za maumivu bil
2026-07-23 12:21:46
0
nabil :
mimi nakukubali
2026-07-23 12:17:31
0
nabil :
sijawahi kwenda hata hospitali
2026-07-23 12:23:38
0
Dikovic master :
me Niko na ndgu yangu katibiwa na hao hai hakupona kaenda hospital kufanya uosleshen ana endelea vzur suwaraman tena nyie watu
2026-07-22 08:12:52
1
user8199968793500 :
Naiyamini hiyo tibayako mana wazee wazamani hawakuvijua kabisa mambo yakutiwa vyuma nawalikua wanatibiwa kama unavosema,Yani tiba nyingi za hospitali ni asilimia 50 kutibu na zaasili ni asilimia 80
2026-07-23 04:41:21
0
islam yahya :
watu wamesahau tiba za asili, zamani ilikua hakuna operation, unaungwa bila kupasuliwa na unafaulu.. turudi Kwa tiba asili
2026-07-22 04:11:38
0
chuwa :
utafugiwa
2026-07-23 10:38:08
0
To see more videos from user @doctor_tangi, please go to the Tikwm
homepage.