@Kibavu Xela: 🕊️:Nakumbuka mwaka 2016 niliitwa na bibi yangu kijijini TANGA aliniambia mambo mengi sana ila maneno ninayoyakumbuka hadi leo aliniambia "mjukuu wangu ipo siku moja watu wengi watapoteza mda wao kusoma comment yako"
2026-07-22 12:16:31
7
Annie⚘️ :
jaman mwenzenu namuonea huruma sijui kwanin yan kila nikikutan na post yake roho inaniuma
2026-07-22 20:35:56
5
Jojo :
Jmn🥹🥹Mungu amsaidie na hayo mateso
2026-07-22 16:37:27
8
monicabujilima :
nilijua mme wangu😁
2026-07-22 17:30:43
0
Tutu mwengelee :
wimbo ndio imenifanya nicheke
2026-07-24 18:50:27
1
༺🄺🄸🄽🄶 🄿🄻🄰🅈🄱🄾🅈🅃🅉🫅 :
kwa mara ya kwanza nimeweza kujaribu kushinda hiki kishawishi cha dhambi 😂😂