kama hati inatolewa ikiwa na namba (kama mfano no. ya nida) je, inakuwaje imehalibika na namba si ipo kwenye data za serikali? kwanini uanze ufatiliaji upya na ipo kwenye seva
2026-07-22 19:36:03
1
elisha manase :
Naje kama unazo kwenye soft copy?
2026-07-22 18:58:36
1
Frankly :
We unavyo ona watu wote tulisikia😁😁😁
2026-07-22 08:39:11
2
Omega :
Tatizo ni technology tu, hati saivi dunia inafikiria kuziweka kwenye block chain
2026-07-22 19:15:42
0
Tajiri wa Roho :
kwanini?
2026-07-22 09:23:32
0
sally :
kama mnataka kutufilisi mseme tu
2026-07-22 21:04:40
0
Devotha Mwakyumba :
Ahsante kwa elimu hii
2026-07-23 08:40:25
0
Eminence Boy💎 :
nahisi kabsa niliwa kusikia ukizungumzia ili swala
2026-07-23 06:54:48
0
amina :
hilo ni tangazo la majuzi na wengine tushaweka miaka mini nyuma. sawa kwa kua hatukulijua hilo waturekebishie bila gharama
2026-07-23 07:50:03
0
JAY B :
sas iyo miez michache ndio nn hao kabla ya apo
2026-07-22 21:24:32
0
azora :
sio hati miliki tu hata kwenye vyeti vyako vya shule ukiweka lamination hicho ni kitu kingine kwenye macho ya kisheria
2026-07-22 16:12:53
0
sally :
sasa zikiliwa na panya?
2026-07-22 21:04:49
1
To see more videos from user @ardhi_mtaji, please go to the Tikwm
homepage.