@pastor_kagoro_01: #UKWELIHALISI:NDUGU ZANGU , SALOON ZA KIKE NI DHAMBI YA KUMKOSOA MUNGU imeandikwa Isaya 45:9 [9]Ole wake ashindanaye na Muumba wake! Kigae kimoja katika vigae vya dunia! Je! Udongo umwambie yeye aufinyangaye; Unafanya nini? Au kazi yako, Hana mikono? Sikiliza ushuhuda kwenye bio yangu kwa link niliyokupa
watu wengi tunamsema mtumishi lakini ukiangalia....kiukweli saloon za wanawake tunamkosoa sana Mungu alivotuumba alituona tumekamilika....lakini sasa leo hii mawigi, makucha,makope machoni rangi za kucha sjui rasta, make up zooote hizo tunajiongezea za nini kwann tusiwe halisi kama tulivoumbwa Mungu angetaka si angetuwekea ila yeye aliona tumependeza na tumekamilika.....tuache ubishi tubadilike...Mungu anisaidie na mimi nibadilike zaidi
2026-07-23 06:32:47
61
Gibs :
DINI NI MZIGO MZITO,TAFUTENI PESA, MUNGU HANA SHIDA NDOGO NDOGO HIZO
2026-08-04 06:50:24
6
last born wa yesu :
watumishi wengi wanajiita wala awajaitwa na mungu
2026-07-23 05:05:59
7
jk father :
Nikweli I saw by my eyes 👀
2026-09-04 17:31:42
1
Pastor: Joswam :
TUNAHITAJI WATU WAKWELI KAMA WEWE MTEULE, VIPOFU WENGI WATAKUPINGA...
2026-08-07 06:55:37
8
fera2$nknk🍃 :
we mtumishi hautourithi ufalme wa mungu katika jina la yesu
2026-08-15 20:10:08
0
mtz og :
Hebu tusimamie kusudi Mungu aliloliweka mbele yetu. Hii mitazamo binafsi isiyokuwa ya kiroho kwa tafsiri zetu binafsi inatupoteza. Tuijue kweli ituweke huru.
2026-08-18 20:15:22
3
Hamis Mkojo :
Kila atumie ability zake maana ushauri umezidi kiasi kwamba mpaka raia wanashindwa kuelewa wafanye lipi na waache lipi
2026-08-22 23:03:45
1
Longo 99 :
Fact,Fact,Fact no doubts
2026-07-23 12:05:23
2
mama rachel :
Eeeh mungu baba naomba unijalie nehema ya kutubu nisiondoke kabla sijatubu
2026-08-11 14:24:10
2
vicent :
nikwel
2026-07-26 18:05:20
1
perrem ella :
you are becoming too much mister
2026-08-15 10:17:32
0
angel light :
MUNGU ATUSAIDIE TUUUU
2026-09-05 13:18:24
1
Justine Wafula :
bibilia inasema usihukumu usije ukaukumiwa Kuna mambo nitakubaliana nawe na mengine hapana
2026-07-22 19:25:31
5
Vincent Nimuka :
me siwezi kukumbali ivi maana ya kwamba mtakula kwa jasho , inamaana gan, na imeandikwa asiyefanya kaz na asile me nambieni luwabkufanya kaz dhambi au kujipaka urembo ndo dhambi?
2026-07-29 08:36:59
0
Chriss fine :
tumewakimbia facebook wanatufata huku tena
2026-08-05 12:31:51
0
user682400281 :
tumsifu Christo milele Amina
2026-07-22 14:47:00
5
Gidion Ndyanabo. :
uko sahihi mtumishi 100%
2026-07-25 12:57:38
4
Eliabu Munyugu :
na vipi kuhusu nguo tunazovaa wakati vazi ambalo Mungu aliwatengenezea adam na Eva ngozi ya mnyama. kwa nini wewe pia umevaa nguo pastor?
na mbona wewe pia umekata nywele ambazo Mungu Amekupa kwa nini usingekuwa kama Samson ufuge nywele tangu kuzaliwa mpaka leo?
nimeuliza hivi pastor sina maana ya kukushambulia natamani tu kupata mtazamo zaidi kutoka kwako. kwa sababu hili unaloliongelea mimi nafikiri kuna kitu kizuri unakimaqnisha ila mfano na namna uliyoielezea ndo inatuchanganya
2026-07-23 02:58:07
4
ARM :
biblia inaonya pia msiwe waalimu wengi
2026-07-22 11:13:17
3
rehema johson :
hata kwenda kunyoa saloon ni dhambi
2026-07-22 12:30:12
4
vms motor :
acheni kupotosha watu someni vizuri maandiko
2026-07-23 14:14:29
1
Mariam Mapumba :
Mtumishi Mimi nimeonyeshwa mambo mengisaana kama matukio ya siku ya mwisho na kila Nikita huwa naandika hapo Mungu anataka kunifundisha jambogani?
2026-07-22 13:34:28
3
longlivebenardo 🇬🇾 :
tiktok ushauri mwingi mpaka kuchanganyikiwa rahisi
2026-08-04 20:53:35
1
To see more videos from user @pastor_kagoro_01, please go to the Tikwm
homepage.