@emmanuelmbegalo:

fogo
fogo
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 22 July 2026 12:12:12 GMT
92051
5203
477
379

Music

Download

Comments

blackchubby0
Black Chubby🌸 :
Kama moshi ndo usiseme hamna hela jamani😌
2026-07-23 07:43:25
132
husseinbenson
UFO :
moshi wangekua wanauza viwanja kama mikoa mingine sasahv moshi ingekua jiji
2026-07-23 09:58:10
86
michaelfelixngole
michaelfelixngole :
Niliishi Arusha miaka mitatu lkn nilirudi na bag la volcano tu.
2026-07-23 07:14:48
89
mwl.salanga
MWALIMU SALANGA :
Mimi mkulima bamia karibuni Tunduru
2026-07-22 16:00:50
64
israelmoses_
Ismoo :
Ndiyo maana mimi Napenda Mbeya,Njombe,Iringa na Songea.
2026-07-22 14:09:58
64
servarick
servarick :
Moshi na Arusha ni miji ya starehe- Kutumia pesa. Kama moshi ukitaka kupoteza pesa zako nenda kajitafute uko. Fogo🙌🙌Big fact.
2026-07-22 13:34:42
74
tino_jf
Tino JF Stories :
mimi nilikuwa nakaa pwani, bagamoyo, nkawa na life gumu sana, nikahamia madale life likatight mara mbili nikaamua kuuza vitu vya geto nikahamia sehemu moja inaitwa Bomang'ombe huko Kilimanjaro (Moshi) maisha yalichange kwa haraka sana mafanikio ya mtu yapo mahali anapoendana napo, sio kila mtu akikaa kusini atatoboa, kusini kumekaa kiukulima zaidi kama mtu huna raha ya mkulima unapaswa ukae kaskazini au pwani huko ni kutumia akili kuliko nguvu
2026-07-23 09:42:48
35
irenestephano921
mrs irene ❤️ :
mimi nataka kuhamia dodoma nishaurini jmn
2026-07-23 12:40:13
17
ericb347
ericb347 :
Kaskazini nenda Manyara
2026-07-23 06:12:44
14
lucymwansasu
lucymwansasu :
na vyenyewe wabaguzi sasa
2026-07-23 04:07:11
31
am_baboon
Mr Sokwe :
Nimezaliwa kaskazin ila ni kugumu sana, hamna fursa za wazi, kila kitu kimekamatwa, halafu ile kujuana, wanatambuana kwa ubini wao.... mtu anatoka nyumbani anajua anaenda kufanya biashara na nani.
2026-07-22 12:31:52
12
comhuhu
Fuime :
Mimi nataka kwenda Zanzibar, unanishaurije Mkuu?
2026-07-23 07:05:15
8
mark_haruni_
mark_haruni_ :
kusini sawa ila siyo lindi...
2026-07-23 14:16:12
6
nancyanold998
Nancy Anold :
😁natakiwa kuhama kaskazini🤣🤣🤣haraka iwezekavyo
2026-07-23 04:00:00
13
petermalewo
Peter Malewo :
Kaka acha kuwatisha watu na kusema uongo juu ya jamii za watu, kuna watu wametoka kanda nyingine wapo kaskazini na wamefanikiwa
2026-07-23 15:03:45
8
vladmirtz
Vladimir :
Lakini Iringa sio Iringa Mjini aisee 😁
2026-07-22 12:51:25
9
kakulu.magomba
magomba magomba :
Njooni kanda ya ziwa mwanza geita katoro muganza chato nyehunge kahama n k
2026-07-23 09:07:10
5
bonne2416
bonne :
Shida sio hao watu au eneo, shida ni una pumzi ya kupambana kushinda wao?
2026-07-23 06:17:51
19
barakafrance2
barakafrance2 :
mimi mwenyewe mchaga lakine maisha yg nafanyia mbeya kilimo cha mpunga hawa jamaa wamebarikiwa bro
2026-07-23 05:08:19
18
scolalyimo
aymtonga :
sio kweli popote kambi
2026-07-23 11:21:33
6
karim_kims
Karim Kim's ♈️ :
Ni kweli bro kaskazin sio mchezo
2026-07-23 01:18:09
6
dsalvy0507
Baba Vivian :
sure bro Mimi naashuhudia Sasa na Wana wivu sana
2026-07-23 04:33:43
9
irungtourstz
Irung Tours & safari Tz🇹🇿 :
Hapana Arusha si wabaguz wana upande.sema fursa ndio hakuna.
2026-07-23 07:47:26
7
henrymbuna
umaskini sio sifa :
hayo ni mawazo tu kikubwa ni nani unakutana naye
2026-07-22 14:45:25
5
davidkaputa3
mpitanjia :
kwani moshi na Kilimanjaro kuna utofauti? mimi ni muhehe nipo moshi na ninaishi kiloo safi2. na tajiri wangu mchaga
2026-07-23 19:37:21
3
To see more videos from user @emmanuelmbegalo, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About