@dunialeo_: Baadhi ya wazee na wakazi wa Ilala jijini Dar es Salaam wamemwomba Rais Samia Suluhu Hassan kuingilia kati mgogoro unaoendelea katika Masjid Al-Rishaad, wakisema hali hiyo imewanyima fursa ya kuendelea na ibada kama ilivyokuwa awali. Wakizungumza Julai 21, 2026, walidai kuwa waumini wamekuwa wakikumbwa na changamoto mbalimbali, ikiwemo kuvurugika kwa shughuli za ibada kutokana na mgogoro unaoendelea kuhusu uongozi wa msikiti huo. Wazee hao walimuomba Mufti wa Tanzania na viongozi wa BAKWATA kulifuatilia suala hilo kwa kina ili kupata suluhisho la kudumu.#dunialeoUPDATES
shida ni kua hawa wapinga dua baada ya swala na kupinga kusoma bismillahi kwenye kuswali kwenye suratul faatiha watu hawataki itikadi hizo walioasisi waliasisi dua zinasomwa sasa wavamiwa kisha utaratibu unabadilishwq shida ni umadhehebu hapo
2026-07-22 20:53:30
6
chockotiktok :
Mzee Wacha aibu Kuna bakwata Na Mufti ya Tanzania.Muacheni mama Samia ahudumikie taifa
2026-07-22 18:56:20
10
Black mamber :
alafu hao ni madalali wa ilala nawajua hapo wamesha pata mteja wakununua huo msikiti naona
2026-07-22 20:12:48
6
Fehedi Zahoro :
ni huo wa ansar?
2026-07-23 02:11:50
2
murb :
kumbe shida ni itikadi acheni hizo mambo
2026-07-22 19:02:44
7
More technic :
Wenyeji hamtaki kuswali mskiti muliutelekeza kitambo tokea mabati ya mjerumaji mpaka yalitoboka na kuoza sasa mskiti umejengwa na mashaa Allah kwasomeshwa wanafunzi wengi sana nilipita nikashuhudia niliswali sala ya ijumaa mashaa Allah kulikua kumejaa sana mpka nje.
2026-07-23 05:12:22
2
BBM437 :
mskiti ni mali ya mwenyezimungu changamoto ikowapi
2026-07-22 19:25:32
3
🥻DHARRY ABAYA TZ 🛒🛍️ :
kuna vijana wanasomeshwa dini pale nyie mnataka nn zaid ya kupiga pesa
2026-07-22 19:27:23
6
rITZrOTZ ♊ :
why dini moja ime trend sana mwez mzimw huu ? 🤔
2026-07-22 21:32:32
0
Mohd Massoud :
Mskiti ni nyumba ya Allah sw acheni vurugu
2026-07-22 14:32:01
6
Ibrasmart electronics &perfume :
mmh mtihani kabisaa,ibada ndo muhimu ndio utakayoendanayo kwa mola wako sio msikiti jaman
sasa nyinyi mnaweza kuhubiri amani kama hawa watu mimi nipo lala kwa zaidi ya miaka 38 sijawahi kuwaona nyinyi nimekuwa mtumishi wa serikali kwa miaka 22 sasa sijawahi kuwaona mbona achaneni na dini ya Allah
2026-07-23 02:37:22
1
Dr.Engineer :
Allaha ilinde nyumba ako na watu waovu, aaamin
2026-07-22 19:43:23
3
msemaji6 :
kwani mmekatazwa kuswali?
2026-07-22 18:56:32
3
Msuya Issa :
achen tamaa za Dunia Kwan Kuna alikatazwa asiswali