@enockchristopher5: Tukio la kusikitisha limetokea nchini kenya baada ya video kusambaa mtandaoni ikimuonesha mama mmoja akimwadhibu mtoto wake kwa njia ya kikatili sana katika video hiyo mama huyo anadaiwa kumchoma mtoto wake kwa maji ya moto na vijiti vya kiberiti baada ya mtoto huyo kutuhumiwa kuiba baadhi ya vitu ndani ya nyumba Tukio hili limezua wimbi kubwa la hasira na masikitiko miongoni mwa wananchi pamoja na watumiaji wa mitandao ya kijamii kupitia maoni na mitandao hiyo wananchi wengi wamejitokeza kulaani kitendo hicho na kutoa wito kwa mamlaka husika kuchukua hatua za haraka ili kumlinisha mtoto huyo na kufanya uchunguzi wa kina kuhusu mazingira ya tukio hilo Wanaharakati wa haki za watoto wamekemea vikali kitendo hicho na kusisitiza kuwa ukatili hauwezi kamwe kuwa njia sahihi ya kutoa nidhamu kwa mtoto jamii inaendelea kuhamasishwa kulinda haki na usalama wa watoto huku wakisubiri hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya mzazi huyo Je, maoni yako ni yapi? Karibu sana kwenye uwanja wa comment. Usisahau kulike, na pia pita pale kwenye channel wetu wa YouTube, Stein TV, usisahau kusubscribe na kulike ili kupata habari mbalimbali kiganjani mwako. #STEINTV #SAAYAUSHUHUDA
mama usichome yote naumia sana jamani. mm nahisi hasila siwez kumpa mtoto wangu kwa mama wakambo naumia sana
2026-07-22 23:37:38
2
UNIQUE HONEY :
duh😭😭😭😭😭😭iman iko wapi 😭😭😭
2026-07-22 19:20:01
1
tunaemsigwa :
baba yeye anachukua video
2026-07-22 20:23:03
1
Rehema Gasper :
Daaaah Ata kama mtoto amekosea
2026-07-22 21:16:05
1
makora_john :
achukuliwe hatua
2026-07-22 19:40:40
1
Lowieliiiiii :
daah inauma
2026-07-22 18:34:58
1
Soso🥰🦋 :
Naonaa anaasira huwez kujua anamsumbua kiasi gan wazazi wanateseka sana ukijumlisha maisha magumu na apo naona alikua anamtishia tu hawezi kumchoma siunaona mwishon kamtizama tu🙆♀️🥺 ukute ayo ni maji sio mafuta
2026-07-22 19:20:19
4
Letcia Chinguwile :
siiiosawaaaaaaa
2026-07-22 16:37:34
0
user1529238661665 :
sitaki TikTok
2026-07-22 17:13:24
1
elmirian 🥰🥰 :
daaaah Mwenyenzi Mungu
2026-07-22 20:08:49
0
arianah :
huyo alieko pemben ni mpumbavu kabisa
2026-07-22 15:06:00
2
Julieth Majenzi :
huyu baba anajielewa kwer daa mtoto mpaka anaomba MSaada kwake lakin kakaa kimya
2026-07-22 19:16:46
0
sophia😺💚 :
uyu mama sio mwanae ndomana anamfanyia ivyoo inauma akiih
2026-07-22 20:13:24
0
flora kibira :
mmmh me ngoja ninyamaze ila nimejsia vbaya sana
2026-07-22 20:11:41
1
Aishadeuc Deuc :
jamani kwann
2026-07-22 17:42:18
0
Beatrice Kileo :
ivi kweli hawa watu wanajuwa uchungu wa mtot kwel
2026-07-22 19:35:47
0
Victoria Diyami :
Hy mama anaakili timamu kweli
2026-07-22 17:04:38
0
liuxie :
Baba hamna hapo,,,😭😭😭😭
2026-07-23 06:34:44
0
mukurejanes 👞 👠 🩰 👠 :
Eee Mungu ulijuwa kwann sikusoma niwe kiongoz maan ninavyoumia ungekuta mm nauwa kwa upanga tuu😢😢😢😢😢😢ila kuna binadam atuna hofu nahiss mm nisingekuwa na hof kwa watuhumiwa😢😢😢😢Mungu nisaidie
2026-07-23 06:37:35
0
Ima Ima :
jaman ila mungu atajibu kilio chauyo mtoto
2026-07-23 07:41:36
1
Ayoub Yusuf :
ni wapi hii video tumtumie mama gwajima?
2026-07-23 10:20:54
0
To see more videos from user @enockchristopher5, please go to the Tikwm
homepage.