@richardmangula900:

Richard Mangula
Richard Mangula
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 22 July 2026 14:39:15 GMT
74748
2500
108
89

Music

Download

Comments

johnmgang
J MGANGA TZ :
ningekuwa Mimi ninge tafuta sehemu ninge packing kama dakika 10 tuu bas
2026-07-23 00:56:08
40
user7730099901060
Jimmy Moshi :
mwambie tushawajuwa kitambo tuuu
2026-07-22 21:45:04
11
karim_kims
Karim Kim's ♈️ :
Kwni jamnai ku overtake sahem ambayo haifai si unatakiwa uandikiwe fine.? Kwamba madereva hatujui sheria?
2026-07-23 00:34:53
5
user7471406732324
user7471406732324 :
ww huyo anafuata shelia za barabarani hapo mbele kuna lasta na makazi ya watu mbele kuna zebra braza lazima uzingatie usalama ila siwezi ongea sanaa sijajua huko nyuma mulipotoka kaka poree ila kwenye makazi ya watu na kuna vivuko tunapaswa kupunguza mwendo ufike salama kaka
2026-07-23 02:08:51
6
geofreysteven42
Geofrey steven :
wabadilishe mbinu iyoo tushaichoka 😁
2026-07-23 05:51:27
4
mimiwewe71
mimiwewe71 :
Sasa unataka kwenye speed bumps na zebra crossing aendeshe Kwa speed!? mbona vitu vinaonekana Kwa macho
2026-07-23 08:56:02
3
emanuellubinza277
Emanuel :
ipo siku tu hawa
2026-07-23 10:53:16
3
daudally1
DAUD ALLY :
hapo morogoro Jordan na akuna askari mweny gar hiyo Moro
2026-07-23 14:45:07
1
muxeven_____4790
🇵🇸MUXEVENEBLEH🇴🇲🇦🇪.❤️💪✅ :
kwan hio ni highway kam china lazm speed iwe ngap, kam umeshindwa kuovertake uliporuhusiwa huwez kuovertake ulipokatazwa 🤔
2026-07-23 04:16:15
2
maulidzanzibar
Maulid Zanzibar :
kuna aina nyingi za kubeti Muache afande aweke mkeka ikiwa ods zinaruhusu😂😂
2026-07-23 04:42:35
1
chuluog78
҉C҉҉H҉҉U҉҉L҉҉U҉҉B҉💙🤞 :
8/8 iyo moro 😂😂
2026-07-23 11:42:12
1
mlugurudigitalsolutions
mlugurudigitalsolution.tz :
ndioo yupoo doliaa au ni namna yakukagua madereva makinii ??
2026-07-23 16:48:08
1
reynhmatem
reynhmatem :
mbona askari yupo sahihi maana Kuna zebra na bamps
2026-07-23 13:43:58
0
mgaya6859
mgaya :
askari hawezi kufunga leseni, mahakama ndio inaweza kufuta leseni, ndio mwalimu alivyo tufundisha shuleni. lakini Tanzania kuna ujinga mwingi sasa hio inasaidia nini? Tanzania 🇹🇿 inapenda sana kuonea watu wake
2026-07-23 05:52:22
1
isiaka.likokwe3
Isiaka Likokwe :
kazingua
2026-07-22 20:24:47
1
edwardkimangila
edwardkimangila :
dah
2026-07-23 11:37:57
0
use0654461248
KAMBARE WA NCHIKAVU🚛 :
iposeku atakuja kuesabu mataili ya tela yap mangapi
2026-07-23 11:23:44
0
abdul.ngoi
Abdulngoi 🇹🇿 :
hata dodom yupo wanamna hy
2026-07-23 14:42:44
0
omari_mizuka_msofe
OMMY MSOFE :
Allah Kwanza 🤲
2026-07-23 11:09:27
0
lovedbyelroi1
𝐒ⓗ𝐚мᵇ𝐚 ᵇ𝑜Ⓨ.. ✅✅ :
Overtake tuone kaka... 🤣🤣🤣🤣
2026-07-23 10:40:50
0
kassimmwitu735
Kassim Mwitu :
mm ninge ovateki kama umeme angeona vumbi tu
2026-07-23 12:22:10
0
addy.victor8
addy victor 🦋 :
We fata sheria acha kulalamika 🤣🤣🤣
2026-07-23 10:38:45
0
hannifei10
Emile :
Dawa yake ndogo tu
2026-07-23 10:38:21
0
monasaloon
Mona 💄 :
Umekula? why usipark ukala umwache aende
2026-07-23 10:34:58
0
kariakoo_super_shopping
kariakoo super shopping :
Mm na akili yangu namkanyaga vzr tu
2026-07-23 10:30:32
0
To see more videos from user @richardmangula900, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About