@daxmedia_: KISA NYUMA KABLA YA FAINALI #worldcup #messi #argentina🇦🇷

DAX MEDIA
DAX MEDIA
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 22 July 2026 15:24:17 GMT
39605
2461
51
85

Music

Download

Comments

hollypips_14
📉💵📈💹😊 :
Acheni kupush ajenda za kipuuzi, first, kama mnadhani hiyo siyo Argentina mnayoijua, ni kwa sababu tokea Mwanzoni mwa mashindano Argentina hajacheza na Timu shindani, na mara chache alipokutana nazo sote ni mashahidi kwamba maamuzi ya marefa yalionekana wazi kuwa favour. Enzo Fernandez alikuwa akicheza upuuzi mno na ile red card aliistahili. kuhusu swala la Lisandro Martinez, labda uwe umemjua kutokea kwenye hilo chapisho unalolisoma, lakini Kwa sisi tunaomfahamu Licha, huyo jamaa ni injury prone, huwa anatoka hivyo hivyo akitembea utadhani hajaumia na anaenda kukaa majeruhi miezi na miezi, Acheni kupika upuuzi, Argentina was outshone in that final, the quality in the spain squad is top notch 🔥🔥🔥, asiyekubali kushindwa si mshindani, ongelea performance mbovu ya hao wachezaji wa Argentina, halafu mnapoongela hayo makubaliano ya kutokushinda tunaomba mtuambie kwamba Dibu Martinez hakujuzwa lolote, so kwa zile saves🙌🙌😂
2026-07-23 06:47:16
10
lampard.mushi
Lampard Mushi :
mnakosa visingizioooo hapanaaaaa
2026-07-22 22:58:13
5
user6528712052683
user6528712052683Rita..Natasha :
This is true, because, Argentina's game was very low, infact Messi was not himself, which was so bad.😭😭😭😭
2026-07-23 16:47:14
0
burudanizone
@BurudaniZone :
mashaniki wa messi mnateseka
2026-07-23 01:33:03
3
lukeelima4
BabaEli :
Mnataka kutetea Messi lkn hatuez kuelewa.. hio hakuna mtu mnatanganya.. Argentina ilishenyendwa... akuna kupinga.. hio ni uongo tena sana
2026-07-24 10:45:43
0
alirama323
Alirama3* :
2026-07-24 05:17:49
0
user17228030556226
Judotech :
Labda kama hukuangalia mpira...
2026-07-22 21:59:35
0
ber_blly.27
Berblly Hb :
ndiyo mana semi final, coach wao hakuwah na Raha kabisa ..hta walipikuwa wanafunga mabao hakuwah na raha
2026-07-23 06:03:36
0
user90071035114672
selelitechnician :
kwa hiyo wangu wew FBI au me ndo sielewi
2026-07-24 04:28:55
0
user3887212871566
lebon imara :
walizidiwa tu bro
2026-07-23 16:29:14
0
yahboy_tz0
🌴Am_Chinga🌴 :
kama unashindwa kuwaelewa hawa jamaa like apa
2026-07-23 16:39:27
0
uchixchimela
uchix chimelachi86 :
mbona ilifika 120 minuntos
2026-07-23 10:58:12
0
dinoalo55
Dickson :
Duuh kumbe kwel.
2026-07-23 23:08:10
0
dallydominickgmail.com
Dalmatius P.G.F :
mbona namba tatu kila. sehemu?
2026-07-23 19:09:54
0
samsule61
No Name :
hilo ni kweli kak
2026-07-23 09:28:48
0
iam_mhd5_
iam_mhd5_ :
mumechapwa mulizidiwa mchezo mumecheza dakika 120 bila shoot on target
2026-07-23 11:56:28
0
alirama323
Alirama3* :
2026-07-24 05:16:41
0
user4401473224261
Samuel@22 :
uongo
2026-07-23 07:40:32
0
cycyofficial8
cycy _official :
10/10
2026-07-23 08:48:51
0
stanleywairia
Stanely wa iria8614 :
Ndo maana Lautaro Martinez akucheza
2026-07-23 09:24:47
0
smnineyakuti
smnineyakuti :
ile sio Argentina ya kutokuwa na shot on/off target hata moja
2026-07-23 06:35:47
0
philipothomas0
philipothomas :
uongo,uongo,uongo...!!!
2026-07-22 22:11:17
2
abdallah25171
Abdallah :
Mmechapwa mnababaika,wacheni hizo,wao hawafungwai?hiyo kwisha Spain Bingwa
2026-07-23 03:52:34
2
yayatourefans
Yaya🦜toure🦜fans :
acha uongo kwa ule mpr wangeshinda sasa
2026-07-22 18:19:25
1
To see more videos from user @daxmedia_, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About