@cawabemedia_: Madereva wanaotumia Mlima Kitonga wametoa shukrani kwa askari wa Polisi anayefanya doria kwa kutumia pikipiki katika eneo hilo, wakisema uwepo wake umeendelea kuimarisha usalama wa watumiaji wa barabara hiyo. Kwa mujibu wa madereva hao, askari huyo amekuwa mstari wa mbele kusimamia usalama wa barabarani, kusaidia kudhibiti msongamano wa magari na kutoa msaada pale yanapotokea matatizo, jambo linalochangia safari kuwa salama zaidi. Madereva wengi wameeleza kuwa juhudi hizo zinastahili kutambuliwa na kupongezwa kwa kuwa zimeongeza utulivu na kuimarisha usalama katika moja ya maeneo yenye changamoto kubwa za barabara nchini. Je, wewe unayepita Mlima Kitonga, una maoni gani kuhusu huduma ya askari huyo?
kwani aliajiriwa kufanya nini ubaya tumezoea uovu hadi mtu akifanya wajibu wake tunaona ni kitu tofauti ya kupongezwa wakati kinafaa kuwa hivyo kilasiku
2026-07-23 15:57:37
46
lusombo :
mtu akifanya mazuri lazima apate maua yake
2026-07-23 13:07:09
394
DROZZOPHELA :
UYO ASKALI WA CHADEMA ATAKUA😂😂
2026-07-23 18:12:37
43
MJOMBAA :
AFANDE MALCUS RESPECT TOA NO ZAKO.
2026-07-23 13:45:52
52
$ :
Nilijua amenisaidia mm kwa sbb mwanamke
2026-07-23 14:24:02
61
Skudu06 :
Aisee mwamba yulee namkubaliii 🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡
2026-07-23 16:57:27
2
mama zuh :
manshallah
2026-07-23 16:36:25
0
jaydenplumbing :
Marcuss
2026-07-23 13:33:49
2
Bablai Mnoma :
Kuna baadhi ya Police wanaroho safi sana 🙏🙏🙏🙏🙏
2026-07-23 13:33:32
57
chimandosway22 :
Malcus 💪🏿
2026-07-23 19:35:33
0
Dafah :
Afande peace sana yule one love ❤️
2026-07-23 19:44:24
0
Joseph Aman209 :
5 ten kwa askal wetu
2026-07-23 09:39:29
34
Dimoso Msing'a :
Tokea nianze kusafiri njia tofauti sijawahi kuona Askali polisi mwema barabarai kama huyu jamaa hakika anafanya vizuri sana kazini pake hana shida
2026-07-23 13:19:41
54
Masebele @ com :
Asanteeeeeee baba Kwa heshimaaaaaaa😂😂😂😂
2026-07-23 13:58:46
5
DICTATOR :
Anaitwa Marcus Mungu ambariki sana
2026-07-23 14:15:29
21
D the boss💞 :
Hongera kwa kuona umhim wake
2026-07-23 13:55:58
10
eddy Keikei :
hio ni kweli yule police kishanisimamisha jinsi alivyokua ananiuliza tu nikajua huyu ndio police tunaentaka kua Barabarani nikampa zawadi ya calender na mkate Yuko vizuri sana
2026-07-23 12:30:37
7
Sipilian Kilamya :
aweke namba tumchangie yupo myaka ya mbele sana
2026-07-23 15:07:37
7
emmakulathakijangwa :
ukifanya kazi nzuri inaonekana na mungu anakufungulia neema zake😊
2026-07-23 17:28:32
9
Mzululaji wa Taifa :
Tumchangie dizel ya mwaka mzima nn eeeeeeet mnasemaje wakuuu??? Afande Tall White
2026-07-23 13:04:44
55
Humutu :
Safi sana mtu akifanya vizuri lazima kupongezwa👏👏
2026-07-23 15:54:42
8
RN Faraja@ tontosia :
Nimempenda bure japo Simjui na navopajua kitonga palivo pabaya Bas Huyu ni mwamba 🔥🔥⚡️
2026-07-23 12:43:04
9
mode :
Sasa mimi ni nani nimkatae jamani kama wenye Barbara Yao wamemkubali🌹🥀
2026-07-23 14:19:29
7
To see more videos from user @cawabemedia_, please go to the Tikwm
homepage.