@cocofm: FARAJA YA SAFAR 1448 HISTORIA NA CHIMBUKO LA WAMIJIKENDA Leo, Jumatano tarehe 22 Julai 2026, ni sawa na tarehe 8 Mwezi wa Safar mwaka wa 1448 AH katika kalenda ya Kiislamu. Leo tunapata simulizi kuhusu historia na chimbuko la Wamijikenda. #COCOFM #ladhayapwani @lolanikalu