huyu omo ana akili kubwa sana na anafikiri kwa haraka sana yaan uwezo wake ni zaidi ya mwanadamu wa kawaida anavofikiri mwinyi achukue madin ayo aache siasa pemben
2026-07-23 17:43:10
12
Husseinbakar891 :
Mola tuwekee hazina yetu hii
2026-07-23 17:24:54
17
Silent_Man🤐 :
Huyu jamaa anakitu💯
2026-07-24 05:09:34
2
Sultan Jamshid :
OMO ameongea maneno mazima yenye kujitoshelezaa Allah ampe afya njema
2026-07-23 18:57:27
12
Ali salim :
Allah atuwekee hazina yetu
2026-07-23 20:36:05
3
Bin Muhine :
huyo hajaishi huku ZANZIBAR watu hawana hele ya kwenda kutizama mpra live tunaishia kwenye tv
2026-07-24 13:06:01
2
IFNIY FAKI :
saivi ety ndo wanamsifu omo, wakati wao kipindi cha kampeni ndo waliokua wakimponda, yani iyo njaa haina chama tutateseka sote sio act wala CCM
2026-07-24 21:01:22
4
Ahmed Said :
masha Allah
2026-07-24 05:32:51
1
Omar Hamad :
mkweli Muaminifu Zanzibar Kwanza vyama baadae
2026-07-23 17:55:43
6
Muzungu :
Allahu akbar,huyu jamaa Allah ampe umri mrefu
2026-07-24 11:45:45
2
Lildebe :
Jamaa yuko na maono makubwa sna na zanzibar mashaallah
2026-07-23 18:03:00
7
Abusalama Madogo :
OMO MUNGU AKULIPE
2026-07-23 16:23:29
8
Nassour Mobarouk :
Kwa kweli Omo ni hadhina ya taifa la Zanzibar
2026-07-24 09:08:08
2
Abuu mzenji :
Tatizo sio kuwekeza pesa zitarudi vp au ndo tutakamuliwa kilasiku bara barabarani ZRA, Silver na police kilakukicha
Zanznzibr ni nchi yangu Ila kwamambo yanayo fanywa na serekal yasas ni mazr sanaa ila yanaendeshwa kisiasa na ushabik wanafanya mambo makubwa lkn nchi inazd kuwa maskin na wananch tunateseka kwa kodi na ukikamatwa na kosa bs pesaa nying unatoa ukwel wa haki Serekal ya sas inaushabik mkubwa na siasa bs
2026-07-26 04:52:15
0
Hamiar salum94 :
Wallah tukipata rais kama huyu muda wa miaka 5 tu mifumo ya kujikwamua na maisha tutaanza kuiyona
2026-07-27 07:16:10
0
Child rashard :
Kiukweli hata ukikopa bank hauwezi kulipa pesa yote ambayo unaipata unalipa nusu ama robo yake na pia kuna kuwa na mkataba maalum kwaiyo wacha nchi ikope roma haikujengwa kwa siku moja wala maendeleo hayaji kwa siku moja wananchi tunafaidika kwa mengi tu kwasasa siasa ziwekwe mbali tuimarishe nchi yetu
2026-07-24 05:53:19
1
dizzo199 :
jamaa ameongea kila kitu point👍👍
2026-07-23 18:46:03
5
Cute Reey❣️💝 :
jaman tuache unafiki tungempatia nafasi huyu jamaaa anakitu ndani yake na anauchungu na nchi yetu anataka maendeleo watu wasilalamike kuhusu njaaa hap nchin
2026-07-24 05:47:13
2
Akhiy01 :
Namuuliza Ndgu mwandishi kama Pato la nchi limepanda mbn hali za kiuchumi za wananchi ni Duni?
2026-07-24 05:42:49
1
Abusalama Madogo :
huku hakunachochote
2026-07-23 16:19:36
0
sahim :
dah kiongoz mwenye maono makubwa
2026-07-24 04:45:13
1
Ally Ma-sms tz :
Ila ni wale wale wote
2026-07-23 20:34:09
0
Mgodi :
Inshallah 🥰🥰🥰
2026-07-23 19:46:10
2
To see more videos from user @alnufais07, please go to the Tikwm
homepage.