MZEE UNAONGEA VITU AMBAVYO HUYO PASTOR HAKUONGEA...!!!
2026-07-23 21:41:46
40
Uncle Uncle :
Exactly
2026-07-24 09:20:04
0
samson barnabas :
well said brother
2026-07-24 10:37:03
0
jembe :
SAFI SANA KAKA THAT IS REAL REALITY
2026-07-24 00:21:37
5
Raymond Mwangila :
very well spoken Hon DC Mtatiro
2026-07-23 21:27:39
7
happy mgonela :
Sema watu tupone jamani tunateseka na watu wa degree
2026-07-23 14:36:59
20
s jk i am Tanzania :
degree sio makalatasi ni uelewa
2026-07-23 20:37:18
13
Regina Haule :
mwache rose aendeelee kutupa mafundisho mazuri
2026-07-24 06:23:05
4
Rebecca Yassin :
boksa nafua na sinunui vitu kwa siri ninapoishi muda huo ndio kwangu ikitokea nimetoka nitaanza upya ndoa yangu naipenda mwaka wa 12
2026-07-24 07:24:59
11
AgeGo :
Kwa umri wangu nimegundua kila ndoa ina changamoto zake yaani utaratibu wa ndoa yangu ni tofauti na ndoa ya wengine
2026-07-24 04:22:57
15
Bishop Mmbando :
kwani nyie hamna kitu cha kuongea mpaka Rose Shaboka aongee na ndipo muanze mjadalaa?
hayo yoote hakuyasema
mnachukulia maneno yake out of context ila mnaharibu image ya ujumbe wenyewe.
ila pia ndio mnazidi kumpa umaarufu
2026-07-24 01:06:41
6
parvy_124 :
yaani sijui siku hizi wanaume wamekuaje,wanakimbia majukumu
2026-07-24 12:41:25
2
user28276605500665 :
ndoa isiwe chanzo Cha kutesana bwana sa kama mtu unaona hiyo ndoa haikupi amani Kwann usiondoke
2026-07-25 06:11:38
0
HI WILL :
UNAPATIKAN WAPI TUANZE UMOJA WA WANAUME
2026-07-23 20:00:37
10
"Brave Warrior" :
ooooooooh my God help us
2026-07-23 19:11:42
6
SADIXA MEDIA ST :
amen
2026-07-23 19:06:38
8
urassag :
pamoja na degree huku mwelewa rosa hizo degree ni buree kabisa
2026-07-24 08:48:54
2
Nyastiki :
mpumzishe mchungaji Rose please
2026-07-24 04:41:23
0
Lina🌹 :
Jameni😢Pastor hakusema tusifue au tusifanye wajibu wetu au tusiwatii alisema maisha yetu yasiishie kwenye majukumu ya nyumbani pekee..
2026-07-24 12:27:33
0
Regina Haule :
kwani mwanaume ni nini
2026-07-24 06:22:12
1
Zek ice cream :
waambie kabisa Yule pastor alitakiwa aitafakali kabila ajaongea ,au asingeongelea kabisa ni bado mdogo kuongelea mambo ya ndoa Kuna mapastors wazee wapo kimya
2026-07-24 07:04:03
3
king ngosha or Mr smart ways :
kofia kanisani ya nn
2026-07-24 06:26:37
1
Elizabeth Juma :
mmh sasa siwewe bwana wanaume wanatutesa sana
2026-07-24 05:04:45
2
tinandesario :
umenena ukweli DC
2026-07-24 03:09:43
3
Mwigo0985 :
Yaani mna mshambulia dada wawatu na wakati alifikisha ujumbe tofauti na mnavyotafsirj
2026-07-24 06:45:30
2
To see more videos from user @kkktebenezershy, please go to the Tikwm
homepage.