Ohh like an Oyster card or travel card just like the UK. It’s a good idea.
2026-07-24 08:20:15
0
Abraham ally :
Ina expire mda gn
2026-07-24 05:32:21
0
.Challah millah🌹❤️ :
.na mie mtanisikia redi0n iv0 iv0😂😂😂😂😂😂
2026-07-23 22:05:47
40
Habiba Sabour :
izo kad tunazipataj
2026-07-24 12:36:27
0
from the future :
yani nauli wamepandisha bei kwa ajili ya mabasi yao,aku yanipite,napenda daladala zetu
2026-07-24 05:43:22
14
Issa yurry3 :
kwahiyo hapo nafuu ya kuwasaidia wananchi kuhusu nauli iko wapi naona ni bei yake ni sawa na hizo dalada za watu binafsi
2026-07-23 18:14:44
12
Dyda :
Si lazma
2026-07-24 05:17:43
0
Yuzo nado 7⚽️ :
Sio lzm lkn kupanda
2026-07-23 16:47:18
26
Princess 🦋🍫 :
s lazm wee😅tushazoea hekhek zet bhna nyieee msituchosh🤣
2026-07-23 17:51:43
7
abdallamakala :
huu ni wizi sasa kama nashuka njiani nalipa nauli ya mjini ndo nn sasa
2026-07-24 01:51:10
7
chubalso_.x66 :
sio lazima tupanda gari za kawaida tutawapa riski kaka zetu wenye coaster
2026-07-23 21:08:28
8
Ramso :
Utapanda ww hatuna mda ss
2026-07-23 22:59:04
3
hamadi_zanzibar1 :
Yanini mie😂
2026-07-23 23:59:52
2
Buthaynah :
Sasa kuna tofaut gani ya bei baina ya bei ya chai maharagwe na ilo basi?? Mm nilijua kwa vile ya umeme bei itakua 300 serikali bwana haiwez kufanya kitu rahisi kwa wananchi wake dah