manshaAllah sheikh Allah akubariki ,may Allah grant you 🙏 jannatul firdaus
2026-07-23 20:21:24
1
Zubeda Vora :
adui ni adui, hata kama ni mamangu
2026-07-24 02:11:01
0
123456789 :
Asalam aleikum shekhe.
bada ya kusoma vile vitu unafanheje?
2026-07-23 20:48:17
1
suhlicious :
shekhe nilikua naskiliza mpk machoz yamenitoka shida nn
2026-07-23 22:25:54
0
maira lipwe :
mm ni ndugu zangu wana husda n mm na sijuwi Kwa nin sas kwanin kama ndugu tusifanye
2026-07-23 20:33:50
0
mayombya kisinza :
salaam,sijaelewa nimemaliza kusoma vile vitu navifanyeje?au navifukiza wakati wa dua?
2026-07-23 22:18:08
0
Abdulbasit :
kama wanahusika sielewi kwakweli
2026-07-23 20:37:02
0
khamis :
Hivyo vitu unavifanyaje au una fusha
2026-07-24 01:30:45
0
kibayarey🌺 :
In Shaa Allhaw
2026-07-23 19:54:50
0
nairat :
aminnnnnnn Allah atawahuku inshaallah
2026-07-23 22:22:27
0
Sauda Khan❤️💕 :
jazaka allah kaka 🤲🤲
2026-07-23 21:27:23
0
kaka :
shukran
2026-07-23 20:36:22
0
Naira shuu :
nakama ujui n hao ndugu ndio wanafanya n ujui
2026-07-23 21:17:40
0
khamis :
Ndugu akiwa adui sio ndugu tena
2026-07-24 00:56:49
0
suhlicious :
maanake nn shekhe nawez kujua
2026-07-23 22:40:09
0
user3774019772639 :
i don't care kama ni familia yangu or not , i have to do it coz nimeteseka sana for a long time . as long as ninamshtaki kwa mungu na si kwa mganga nitafanya . thank you
2026-07-23 20:27:42
0
user Rocky :
🤲
2026-07-23 23:17:55
1
To see more videos from user @sheikhshariffjangri, please go to the Tikwm
homepage.