Only places near the Earth's poles experiences this 😂
2026-07-24 17:57:48
0
Be blessed 🙌✨️ :
kuna vitu vingine sio sayansi wala nn ila ni Mungu tu anafanya .
2026-07-24 09:35:58
159
KingSon :
Nishaiona password,bado namba ya airtel money
2026-07-24 11:19:15
0
Mzungu wa Mchongo :
axial tilt.
2026-07-24 14:02:53
0
ijuka :
Facts ni ya kigeographia,the earths orbit is tilted about 23.5 degrees so north pole never get rotated into earth’s shadow
2026-07-24 14:04:47
0
faf :
wejana unatufikisha Canada without passport
2026-07-24 13:59:12
0
BIGBROTHER😎 :
Apo ndo pazuri kwa biashara sas
2026-07-24 15:43:21
16
KIRAKA🥷🏿 :
Wakati wa summer kwenye ncha ya kaskazini ya dunia jua huwa halizami kutokana na sababu kadhaa..
Kwanza inabidi tujue dunia huwa haizunguki ikiwa wima, dunia imeinama kwa nyuzi 23.5
Hivyo kuanzia mwezi march mpaka september ncha ya kaskazini ya dunia inakuwa imeinama kuelekea upande wa jua, kutokana na kuinama huko hata pale dunia inapojizungusha kwenye muhimili wake kupata usiku na mchana, eneo lote la arctic linakuwa upande unaopata mwanga wa jua. Na upande wa ncha ya kusini Antarctica inakuwa ni winter na kunakuwa na giza saa 24 kwa sababu dunia inakuwa imeinama mbali na jua kwa miezi 6 yote.
Kipindi cha pili cha miezi 6 mwezi wa september mpaka march dunia ikiwa upande wa pili wa jua ncha ya kusini Antarctica inakuwa imeinama kuelekea jua(summer) kunakuwa na jua sa24 na ncha ya kaskazini arctic kunakuwa na giza saa24 sababu kuna kuwa mbali na jua kutokana na ule muinamo wa nyuzi 23.5
2026-07-24 13:55:16
15
5฿ⱤØ₮ⱧɆⱤŜ̬ 🇰🇪 :
kenya pia kuna sehemu inatwa kaloleni jua halizami kabisa
2026-07-24 10:26:11
13
Gold :
ingekuwa Tanzania basi ingekuwa kigoma
2026-07-24 07:58:53
33
Sama Tezza :
kigoma nilifika saa moja nikakuta jua halijazama nikashangaa sana
2026-07-24 10:02:33
8
elizabeth jumbe :
Sasa tukiiyona password simu tutaipata wapi kaka Alex jamani🫣💃
2026-07-24 08:08:48
32
Mnama Fashion Wear :
swali langu ni kwamba unajuaje kuwa now ni asubuhi au ni usiku
2026-07-24 10:29:37
7
Breezy_32 :
usiku mweupe ata Russia kuna sehem ipo hivo
2026-07-24 09:34:57
6
globtain :
hii ni sababu tosha kusema kwamba dunia sio duara ila ni tambalale. jua ndo huzunguka dunia ambayo yenyewe imetulia tu. hapo jua limechoka kuzunguka dunia limeona kila mtu ajipambanie mwenyewe😂
2026-07-24 10:50:32
8
madenoRAC1 :
hapo ndo mwisho wa jua
2026-07-24 08:41:00
8
paulrt :
Kweli huo ni muujiza wa Mungu
2026-07-24 12:11:36
9
Mr Kadamshiani :
huko pazuri unalala utapopenda mwenyewe sio huku saa 12 jioni mbu zinakufukuza nje
2026-07-24 11:12:50
5
Black queen 👸 :
Huyu ndo MUNGU sasaa 🥰🥰🥰
2026-07-24 06:01:38
9
Lameck mwasi :
sasa kama halizami usiku unatoka wapi eti saa 6 saa 8 liko palepale
2026-07-24 07:33:18
7
Lulu Sarungi :
Ukiwa kwenye mfungo sijui inakuwaje😂
2026-07-24 19:21:59
0
4points.🦅 :
Antantica au sio😅
2026-07-24 12:49:28
3
To see more videos from user @utaliitz, please go to the Tikwm
homepage.