@utaliitz: Mwanga masaa 24, Jua halizami kabisa, ni mwanga mda wote! ☀️⬆️🌍🇹🇿📍#kiswahili #tanzaniatiktok🇹🇿 #tanzania🇹🇿

MtaliiTanzania
MtaliiTanzania
Open In TikTok:
Region: CA
Friday 24 July 2026 05:45:20 GMT
161974
9483
502
791

Music

Download

Comments

barakaelkaaya
barakaelkaaya :
is this not AI 😂😂
2026-07-24 14:15:42
1
_shaka_zulu_
SHAKA_ZULU :
kariakoo ingeamia hapo
2026-07-24 07:30:27
92
_brigh.ton_
_brigh.ton_ :
Only places near the Earth's poles experiences this 😂
2026-07-24 17:57:48
0
nolosehope
Be blessed 🙌✨️ :
kuna vitu vingine sio sayansi wala nn ila ni Mungu tu anafanya .
2026-07-24 09:35:58
159
kingsonpatrickdollar
KingSon :
Nishaiona password,bado namba ya airtel money
2026-07-24 11:19:15
0
mzunguwamchongo1
Mzungu wa Mchongo :
axial tilt.
2026-07-24 14:02:53
0
stephanomeyano
ijuka :
Facts ni ya kigeographia,the earths orbit is tilted about 23.5 degrees so north pole never get rotated into earth’s shadow
2026-07-24 14:04:47
0
faf4503
faf :
wejana unatufikisha Canada without passport
2026-07-24 13:59:12
0
bigbrother.bg
BIGBROTHER😎 :
Apo ndo pazuri kwa biashara sas
2026-07-24 15:43:21
16
kingcairo_2023
KIRAKA🥷🏿 :
Wakati wa summer kwenye ncha ya kaskazini ya dunia jua huwa halizami kutokana na sababu kadhaa.. Kwanza inabidi tujue dunia huwa haizunguki ikiwa wima, dunia imeinama kwa nyuzi 23.5 Hivyo kuanzia mwezi march mpaka september ncha ya kaskazini ya dunia inakuwa imeinama kuelekea upande wa jua, kutokana na kuinama huko hata pale dunia inapojizungusha kwenye muhimili wake kupata usiku na mchana, eneo lote la arctic linakuwa upande unaopata mwanga wa jua. Na upande wa ncha ya kusini Antarctica inakuwa ni winter na kunakuwa na giza saa 24 kwa sababu dunia inakuwa imeinama mbali na jua kwa miezi 6 yote. Kipindi cha pili cha miezi 6 mwezi wa september mpaka march dunia ikiwa upande wa pili wa jua ncha ya kusini Antarctica inakuwa imeinama kuelekea jua(summer) kunakuwa na jua sa24 na ncha ya kaskazini arctic kunakuwa na giza saa24 sababu kuna kuwa mbali na jua kutokana na ule muinamo wa nyuzi 23.5
2026-07-24 13:55:16
15
biyeri254
5฿ⱤØ₮ⱧɆⱤŜ̬ 🇰🇪 :
kenya pia kuna sehemu inatwa kaloleni jua halizami kabisa
2026-07-24 10:26:11
13
godwin_only1
Gold :
ingekuwa Tanzania basi ingekuwa kigoma
2026-07-24 07:58:53
33
sudisama
Sama Tezza :
kigoma nilifika saa moja nikakuta jua halijazama nikashangaa sana
2026-07-24 10:02:33
8
elizabethjumbe
elizabeth jumbe :
Sasa tukiiyona password simu tutaipata wapi kaka Alex jamani🫣💃
2026-07-24 08:08:48
32
mnama.fashion.wea
Mnama Fashion Wear :
swali langu ni kwamba unajuaje kuwa now ni asubuhi au ni usiku
2026-07-24 10:29:37
7
breezy___32
Breezy_32 :
usiku mweupe ata Russia kuna sehem ipo hivo
2026-07-24 09:34:57
6
njoo_tufurahi
globtain :
hii ni sababu tosha kusema kwamba dunia sio duara ila ni tambalale. jua ndo huzunguka dunia ambayo yenyewe imetulia tu. hapo jua limechoka kuzunguka dunia limeona kila mtu ajipambanie mwenyewe😂
2026-07-24 10:50:32
8
madenorac1
madenoRAC1 :
hapo ndo mwisho wa jua
2026-07-24 08:41:00
8
paulrt2
paulrt :
Kweli huo ni muujiza wa Mungu
2026-07-24 12:11:36
9
michael78832
Mr Kadamshiani :
huko pazuri unalala utapopenda mwenyewe sio huku saa 12 jioni mbu zinakufukuza nje
2026-07-24 11:12:50
5
happyness3652
Black queen 👸 :
Huyu ndo MUNGU sasaa 🥰🥰🥰
2026-07-24 06:01:38
9
arjunlameck
Lameck mwasi :
sasa kama halizami usiku unatoka wapi eti saa 6 saa 8 liko palepale
2026-07-24 07:33:18
7
healing_with_lulu
Lulu Sarungi :
Ukiwa kwenye mfungo sijui inakuwaje😂
2026-07-24 19:21:59
0
4.points
4points.🦅 :
Antantica au sio😅
2026-07-24 12:49:28
3
To see more videos from user @utaliitz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About