kuwatia lawama tu watu wa TRA.
wao wanatekeleza yale walioambiwa, kikubwa wabadilishe sheria na sio Matamko tu.
2026-07-24 18:16:35
7
kang'wa🫅🧿🔱🌳🦁🐍🦂🐝 :
hawachelewi wale tunawajua🤣
2026-07-24 10:41:10
3
Shabani Sudi :
mbona mwekezaji kutoka nje anapewa free tax miaka mitano, kwanini?
2026-07-24 19:55:10
2
Jackson Swai :
good sana
2026-07-25 14:02:43
1
rehema othuman :
safi
2026-07-24 17:34:36
0
user12309909197321 :
Safi sana
2026-07-25 19:57:06
0
UHURU MCHANGANYIKO :
daa tunashukur km itakua kweli
2026-07-25 12:22:25
0
furaha :
mmmh
2026-07-25 12:15:43
0
Veronica Robert :
jamaani
2026-07-25 11:34:23
0
nagma botiqe zanzibar :
uko ni Bara zanzibar uku bado
2026-07-25 14:23:10
0
samweli mdadre :
Mungu ambariki
2026-07-25 16:10:17
0
kodo :
kwann isiwe miaka kumi kama ilivo kwa WAWEKEZAJI WAGENI?
2026-07-25 14:50:08
0
Jay ton🎧 🇹🇿 :
mama samia juu🇹🇿👍
2026-07-25 14:11:59
0
@double "H"collection. :
kwa kuanzia sio mbaya ,
lakini mwaka mmoja kwenye biashara bado , biashara haiwezi kukomaa ndani ya mwaka mmoja.
angalau watoe miaka mitatu .
2026-07-25 14:10:14
1
Makah0312 :
je resen ya biashara itatolewa bure ili ikifikisha mwaka ndipo alipe kodi
2026-07-25 12:29:24
0
Matiku Jm :
kweli kabisa kwanza wametunyanyasa sana miaka yote hii hadi wengine tumefunga biashara watulipe kwanza
2026-07-25 09:04:59
0
0zonecox :
duuh mitano tena japo bado kunasehem mmesahau lekebishen at iyo kodi yenyew na na lesen
2026-07-25 09:03:19
0
Mihambo Jr@ :
2026-07-25 20:13:41
0
chen :
wakishika maiki wanaongeaga mengi mazuri ila wakishika kalamu wanabadilika, maneno ya jukuani nitofauti nayaofisin
2026-07-25 20:25:13
0
Asia Selemani :
safi sana
2026-07-25 10:24:42
0
Manyinda manka :
Kaka Mimi nimefungua biashara mpya nikiwa na siku tatu tu nimekuja kupigwa faini Sina dustbin ... Nimemwambi as IPO hapo Nje kubwa tu ya jrani awanielewi Kila namtu awe na yake
2026-07-25 10:21:26
0
user551621376505 :
pamoja kaka nikweli
2026-07-24 15:35:47
0
To see more videos from user @miraji.buda, please go to the Tikwm
homepage.