@miraji.buda: au niongeze sauti #tiktoktanzania🇹🇿 #tabora #usinge

miraji buda255
miraji buda255
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 24 July 2026 08:59:02 GMT
131031
4220
194
1160

Music

Download

Comments

shabanisudi151
Shabani Sudi :
mbona mwekezaji kutoka nje anapewa free tax miaka mitano, kwanini?
2026-07-24 19:55:10
13
narrowbphilipes
Narrow b. Philipes :
MI HUWAGA SIELEWI KWANINI SISI MAWAKALA TUNAKATWA KODI KWENYE KILA MUAMALA TUNAOFANYA NA TRA NA BADO TUNAFUATWA ET TULIPE NA CJUI ZA NN UKO TAKATAKA BADO LESENI SI WIZI HUOO
2026-09-11 14:02:22
5
aristidimrema
Aristidi Mrema :
nimeshafilisika nilichobaki
2026-08-27 18:56:16
1
yuso367
Yuso367 :
kwani huyo ni machungaji au wazir?
2026-09-11 14:49:06
0
jabiringandule
Jabiri Ngandule :
kuwatia lawama tu watu wa TRA. wao wanatekeleza yale walioambiwa, kikubwa wabadilishe sheria na sio Matamko tu.
2026-07-24 18:16:35
12
user24024190945116
user24024190945116 :
Serikali ya mama Samia inahuruma sana na wafanyabiashara. MUNGU amjaalie afya njema na maisha marefu Rais wetu 🙏🙏🙏
2026-07-27 06:39:24
3
mr.offa.tz
@double "H"collection. :
kwa kuanzia sio mbaya , lakini mwaka mmoja kwenye biashara bado , biashara haiwezi kukomaa ndani ya mwaka mmoja. angalau watoe miaka mitatu .
2026-07-25 14:10:14
6
mswiswi6
mswiswi :
hata serikalini ukiajiriwa usitoe Kodi mwaka mmoja
2026-07-27 16:37:54
1
ngitilifisha1995
[email protected] :
kaka maogo2 hayo💪💪
2026-07-26 04:15:34
1
yusuu.01a
Aposiano 01A :
Mimi ndio wakwanza kwel inaniuma
2026-08-21 18:42:52
3
zmaster32
mchina fundi simu :
Kutete mkuuu
2026-07-26 20:42:44
1
user1718614903284
chabi :
hata mimi nilifunga duka
2026-09-12 11:32:12
1
lucyhadija
Lucy 199 :
mungu akuweke nimefungua biashara sina hatamwezi nimelazimika kufunga kwagalama nilopewa tunakamatwa muda wote
2026-09-13 20:30:41
1
isayamarco1
Isaya Önê Lovê Tz🇹🇿🇹🇿🇹🇿 :
TRA WANAKOSA GANI WAKATI SHERIA ZIMEPITASWA BUNGENI
2026-07-29 15:51:12
1
abdullsintoro6
abdullsintoro :
Brother hii ndio siasa…usikiavyo kwa hawa jamaa ni tofauti… kabisa na mtaani huku..
2026-07-26 05:25:00
1
emmanuelmjema267
Ema boy :
nna miezi mitatu naaambiwa nilipe Kodi
2026-08-21 20:10:06
1
user9380226374278
rehema othuman :
safi
2026-07-24 17:34:36
1
magreth3874
Magreth :
na kodi uwa wanasema mtaji chini ya milioni nne uruhusiwe kulipa kodi
2026-08-21 16:29:09
1
jacksonswai469
Jackson Swai :
good sana
2026-07-25 14:02:43
2
suzanachristophe4
Suzana Christopher :
Asante mungu awabariki sana kwa kazi mzur
2026-07-27 06:18:52
1
user3608851687761
baliki :
hivi huyo si Joel nanauka au naona vibaya mnisaidie
2026-08-04 09:02:44
1
pennypaul79
Ninah Osborn :
nimeosave nawasubiri waje
2026-07-27 15:22:45
1
user7681792447381
0zonecox :
duuh mitano tena japo bado kunasehem mmesahau lekebishen at iyo kodi yenyew na na lesen
2026-07-25 09:03:19
1
user7940231133353
kang'wa🫅🧿🐍 :
hawachelewi wale tunawajua🤣
2026-07-24 10:41:10
4
veronicarobert
Veronica Robert :
jamaani
2026-07-25 11:34:23
1
To see more videos from user @miraji.buda, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About