@atuganilemwakosya: MSIFANYE IBADA ZA KUKEMEA WACHAWI, MNAPOTEZA MUDA? 🤔- APOSTLE NDEGI Kauli hii imezua mjadala mkubwa miongoni mwa Wakristo. Wapo wanaoamini kuwa nguvu kubwa inapaswa kuelekezwa katika kumhubiri Kristo, kuwaleta watu kwenye wokovu na kuwafundisha Neno la Mungu, badala ya kutumia muda mwingi kukemea wachawi. Je, unakubaliana na mtazamo huu? Toa maoni yako kwa heshima na kwa kuzingatia mafundisho ya Biblia.

Atumedia Gospel Tv
Atumedia Gospel Tv
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 24 July 2026 09:27:28 GMT
18127
429
41
37

Music

Download

Comments

tesha5330
tesha :
efeso (6:12)kushindana kwetu si juu ya damu na nyama bali katika ulimwengu wa roo kwaiyo bibilia inasema uongo? au kiki
2026-07-24 13:40:55
10
user1246703310843
DENIS LIKOMBILE :
kwa kuongezea; Yesu mwenyewe roho ya MUNGU ilikuwa ndani yake lakini bado shetani aliweza kumjaribu mwishowe akamkemea.“Ndipo Yesu alipomwambia, Nenda zako, Shetani; kwa maana imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake. ” — Mathayo 4:10 (Biblia Takatifu)
2026-07-24 16:44:40
3
getentan.johnson
Getentan Johnson :
tht is not doctrine, but from scripture resist the devil will free from you
2026-07-24 11:42:49
3
magret.kaloli.lal
Martha tz :
kabisa past, mungu yupo ndani Yangu hakuna baya litakalo Nikiuta, mungu yupo ndani Yangu, ana jishugulisha na Mambo yangu, Amina sana past nime kuelewa sana, mungu akutumie sana, wachache wata kuelewa 🙏
2026-07-24 18:02:31
1
bwakillah
Bwakilah 😂 :
biblia inasema mpigine shetani nae atawakimbia sasa tunampigaje kama siyo kwa maombi na kumkemea?
2026-07-25 09:49:25
1
kithykombe
KITHY KOMBE Official 🇰🇪 :
Waambie kweli
2026-07-25 13:49:15
0
emmanuel.samwel38
Emmanuel Samwel :
hii mpy kwa mtumish nadhani muda wa kutosha wa kuyasoma maandiko uwepo mana yapo maandiko mengi sana Kila mtu apambane na huduma aliyoitiwa
2026-07-24 19:15:36
1
jaydenayubu
ayoob :
kwel mzeee
2026-07-25 09:45:05
0
papa_elie7
Papa Élie :
Yes yes yes, yeeeeeeeees Amina kubwa mzée wangu iyi ni kiwango kingine kikuu saana cha imani, ila wengi hawata ku elewa mzée wangu, kwa msemwa mwingine, wachanga ama wa level ya chini, hawata ku elewa hapo mzée wangu . Alléluia, YESU KRISTO aku inue na kuku pandisha level saaaaaana
2026-07-25 21:19:57
0
celinascoper
Celina Scoper :
mtume paulo akikuangalia anasikitika unavyo mpinga na zile silaha alizotaja kwenye waefeso hazina maana.
2026-07-25 07:49:41
0
lisious04
Queen li :
mi nakubaliana na wewe
2026-07-25 09:57:51
0
musa.daprice
Musa daprins :
kwli kabisa pastor
2026-07-25 14:36:49
0
maadam.eva
Maadam Eva :
mbona Yesu alikemea pepo mgerasi??
2026-07-24 19:58:17
0
meshackndendy
Meshackndendya shujaa :
mmmmh haise tukazane kusoma maandiko
2026-07-24 18:56:34
0
chrs7462
Chrs :
kukemea ni lazima kama wewe huwez kaapembeni mungu yuko ndani yangu na shetani yupo ndani ya watu kukemea ni razima Mungu ni roho na shetani ni roho
2026-07-25 09:02:26
2
lilian06907
Lillian🌸🌹🇹🇿 :
Ila Jaman Naomba usome andiko yakobo 4:7 utapata majibu 😳
2026-07-24 19:10:17
0
gracejaphet73
grace japhet :
huna taka wachawi wawepo wafe hatutaki
2026-07-24 11:44:59
0
bwanashambanguli
Bwanashamba :
HAPA HAPANA. KILA MTU ANA PAMBANA NA VITA YAKE HATULINGANI TUNATOFAUTIKANA AINA YA VITA, VIWANGO, UTHABITI WA IMANI, KIWANGO CHA USAAFI CHA MADHABAHU, AINA YA MADHABAHU MAKANISANI etc
2026-07-24 18:09:54
2
kapele.mzee
Kapele Mzee :
kweliii
2026-07-24 12:54:46
0
obedshadrack
Obey :
sio kweli? mataifa makubwa yenye uchumi yanaungana kuwadhibiti mataifa yasio na uchumi mkubwa, yanawapangia nini chakufanya,
2026-07-24 13:27:09
0
nabiisuleiman
NABII FUNGUO KIG SULE :
shetani ali muigia yuda shatani ali mpiga ayubu shetani aliwaziwia pauro tunaubili kwa sababu wachawi wapo
2026-07-25 23:39:18
0
elieka2025
Elieka :
mtumishi Mimi ni mtumishi lakini ninajua shetani kuliko kufa wachawi wote ulimwenguni Kwa jina kuuu la yesu kirsto Mimi Sina chochote ila ninayesu kiristo aliyekufa na kufufuka
2026-07-24 14:37:30
0
immapoule2
Jitu la mbinguni ☝️ :
ila si vibaya na ukosahihi lakini uongeacho ni fikra binafsi lakini tambua hilo ni jeshi kulishinda lazima upigane vita kunamahari kufika yahtaji vita ili umeiliki, uketi ufike maana nguvu zipi hizo kwan level nawao wanalevel hiyo nguvu ya level ipi? mambo ni mengi mda ni mchache
2026-07-24 12:09:33
0
fgckbethelsyombandu1
fgckbethelsyombandu :
Tutawakemea mpaka ulie machozi
2026-07-24 19:50:35
1
user5501208605481
karebo :
mpole sana imeandikwa usimuache mchawi akaishi we kama una acha sisi tunakeme uchawi na kuharibu uganga wote wa mashetani moto fanyaaaa 🔥
2026-07-24 10:54:53
3
To see more videos from user @atuganilemwakosya, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About