@kanikibrown: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema endapo angepata nafasi ya kutoa neno moja la mwisho kwa Watanzania, angewataka wapambane ili kupata Katiba Mpya. Akizungumza leo Julai 24, 2026 Jijini Dar es salaam katika Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu, Balozi Dkt. Nchimbi amesema mjadala wa kupata Katiba Mpya umedumu kwa zaidi ya miaka 40, huku vuguvugu la kuitafuta likianza mwaka 1992. Amesema Serikali ya Awamu ya Nne ilianza mchakato wa Katiba Mpya, lakini changamoto iliyojitokeza ni kuwa madai ya Wananchi yalikuwa mengi na yalihitaji kushughulikiwa kwa pamoja. “Kama nina kitu cha kuwaambia Watanzania, ningewaambi pambaneni mpate Katiba Mpya itakayodumu miaka 50, yenye mwafaka katika Taifa, itakayotupeleka mbele miaka 50.” #WEWENIFAMILIA Ripota wa Habari za Mikoani ✍ @kaniki_brown “Endelea kufuatilia #Ripotawahabarizamikoani kwa taarifa sahihi na za uhakika. KWA MATANGAZO YA BIASHARA NA HABARI Follow kwa updates zaidi. Kuwasiliana 📞 0622 732 287 #kanikibrown”

Kaniki Brown
Kaniki Brown
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 24 July 2026 10:13:16 GMT
37161
1600
124
193

Music

Download

Comments

thesaed2022
thesaed2022 :
Psychological warfare, or Chicanery.
2026-07-24 12:09:41
0
user9595007533090
BEA SIMBA :
in god we trust
2026-07-24 13:56:05
0
bakhsheshetz
Bakhsheshe@tz :
hii nimichezo,and we know it.
2026-07-24 15:48:02
0
user16807029519095
user16807029519095 :
Very goo
2026-07-24 11:03:45
0
user9421822871173
user9421822871173 :
A I hiyo
2026-07-24 15:55:21
0
harrymgosi23
MGOSI23 :
CCM Huyo anacheza na akili zenu Tu hapo. Hawawezi kutupa KATIBA. Yeye si Rais hamjiulizi kwann anasema tukashinde vita vya katiba. Maana yake mkapambane Naye awape KATIBA MPYA
2026-07-24 11:10:32
14
user3166180033598
user3166180033598 :
waooooo umebaki peke yako unae ongea ukweli mtupu
2026-07-24 11:58:38
7
josephmalidadi598
Joseph Malidadi :
mzee kanywe soda nalipa🥰
2026-07-24 10:46:48
13
emmanuelkajange1
emmanuelkajange :
Huyu ndiye tuliekuwa tukimsubiri? au tuendelee kumsubiri? Emmanuel mwana wa Tanzania bwana yu juu yako atakufanya njia ya uokovu kwa jina la baba na mwana
2026-07-24 11:24:10
7
futurecivics
futurecivics :
huyu ndio anaitwa yuda au nielewesheni.
2026-07-24 11:19:20
7
dy0zec476ut4
But.......💔 :
Wacheni ujinga wa Tanzania huyu katumwa ajifanye yupo pamoja na wananchi ili aonekane anatutetea ili mjemumchague 2030 halafu akishakaa kwenye kiti anakuja kufanya kushinda alio kuwepo hao wote kitu kimoja hawawezi kuwajali citizens😁😁
2026-07-24 11:41:06
2
lukaskagongo
LUKAS :
hongera sana kiongozi
2026-07-24 10:21:29
8
robson22368
Robson :
mzee unakunywa soda Gani nakuja kulipa kunywa Ile kubwa
2026-07-24 10:47:43
9
johnchacha718
John chacha :
ukosawa mzee we unastahili kupewa nchi
2026-07-24 12:27:31
2
kafiri6
E p Netanyahu :
nchimbi hapendi ujinga wa kuteka na kuuwa watu
2026-07-24 11:20:54
5
joetiptop
Joetiptop :
apa ndo na amini yale maneno ya polepolee
2026-07-24 11:21:09
3
user1571561759455
Salome chimomo :
yuda nipo na wewe
2026-07-24 11:22:25
3
mtanga255
Tanzania kwanza :
tukapambane nanani
2026-07-24 11:31:45
2
jumaisingo
jumaisingo :
raisi c huyu sasa
2026-07-24 11:19:41
2
user1435930029744
user1435930029744 :
mipaka iko waz zingatia neno pambaneni
2026-07-24 12:37:46
4
user6820279813194
paulo 0752253515 :
neno moja tuuuui 🙏🙏🙏🙏
2026-07-24 10:41:04
3
99jayshomedecoration
Jay's -home-decoration :
ila swali linabaki tukapambane nan na ni Nan analeta katba ndo tupambane nae hii ukifikilia inachanganyaa
2026-07-24 11:19:38
2
wokamaniihizo
wokamaniihizo :
kabla Jogoo hajawika Yuda alifanya yake
2026-07-24 12:00:16
2
bakarishabani4
bakarishabani4 :
yaani kiupole kabisa kama shekhe waridi vile.watu kama hawa ni wachache sana
2026-07-24 11:31:58
1
To see more videos from user @kanikibrown, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About