@mekicareercoach: Leo nimevaa kapelooooooo All the beeeeeeeest🫡

Career Coach Meki
Career Coach Meki
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 24 July 2026 10:16:27 GMT
19338
1539
140
197

Music

Download

Comments

jesscrystal18
Jesscrystal18 :
So true damn ….everytime I win ugomvi huo
2026-07-25 03:34:15
4
serhaworld1997
Serhaworld🦋 :
Nilikua na mchawiii Huyo sikuwahiiii kufanikiwaaaaa aiseeee😂na Alikua anasema subiri nitakupelekaaaa mm mwenyewe Halafu anakucheleweshaaaaa alooooo🙌siku niliyoamuaaaa maaamuziii magumuuu nilihamaaa mkoaaa bila kujali ametoaa sijuiii vishikaaa uchumbaaa sijuiii nn niliondokaaaa kama mshenziii nikavukaaa majiii mpakaaa Zanzibar nilifanikiwaaa hadi nimenenepaaaa aiseee
2026-07-24 13:43:33
57
janeylovie
Jaydee🇹🇿 :
Jamani jamani... umenikumbusha mtu nilikuwa nae ina serious relationship, bado nusu anione mbwa yule😂😂😂... I had no money niko tu home, rafiki zangu walikuwa wanaenda Nairobi kununua mzigo wa biashara, wakaniambia twende... tunakulipia nauli ya kwenda na kurudi, ila hela ya mzigo tutakukopesha, walikodi air bnb, so pakulala palikuwepo. Jamani yule baba alikataa hadi alinuna, watanionaje marafiki zako, kwamba mimi sina hela. On my birthday na any holidays zinazonihusu, like Women and Mother's day ndo ugomvi balaaa, lazima akukwaze. I'm glad I dodged a bullet. Somo la leo limenigusa.😂
2026-07-24 11:57:46
24
aggymaghenda
aggy Molped Arusha :
true
2026-07-26 05:22:52
1
clo365
Claudia Lusewa :
Niko na ushuhuudaaa🙌🙌🙌
2026-07-24 19:50:05
2
heavenly.daugther
heavenly daugther :
me naee nafanyaa vituu vyanguu anakujaa kuonaa matokeoo huwaa simshilikishii kwanzaaa na nikisemaa kituu sitaki na sitaki kwelii kama hatakii na akwendeee😅😅
2026-07-25 11:57:49
1
giftde0
Call my name😍 :
Kunywa pepsi baridi nalipia😂
2026-07-25 09:42:09
2
jassystories
Jasmine Pazuel :
Sijakuzoea bila lipstick 💄 Ila ujumbe umefika
2026-07-24 11:15:19
6
zephaniahjescah
Jescah🦋❤️💫 :
Mm Niko n huyo mchawiii 😂😂😂😂Niko kweny ue ananijia juu nimemuach kidg 😂😂😂
2026-07-24 12:57:34
17
ms_jennie71
Ms_Jennie :
🤣🤣🤣🤣Ila wewe
2026-07-25 06:02:28
2
volkswagenman_tanzania
Volkswagen Man :
Hadi Taikondo mwanetu? 😂 😂
2026-07-25 16:31:17
3
nobleperson_5
msomi_furniture :
mm naongea ww unalala? 🤣
2026-07-26 09:23:12
0
doreendoddo
doreendoddo :
Sasa bhana… kuna huyo mtu wa karibu yangu, kuna siku alikuwa aende interview; asubuhi tu kufika mwanga wake akaumwa hoi. Safari ikawa ya hospital. Siku nyingine kaandaa attachments aje afanye application, mchawi wake akafuta folder kwa PC!!! Matukio ni mengi, yaani ni huzuni🙌
2026-07-24 11:16:42
5
lourano1
lourano :
😅😅 mchawii wangu 😅🙌
2026-07-24 12:56:36
1
marshmallow4696
marshmallow :
😂😂😂😂😂
2026-07-24 11:12:40
1
jmyn85
jasmin :
Mchawi wangu tuliachana kisa nimemwambia nipo kwenye field taasisi flani 😂
2026-07-25 06:59:15
2
brialwornroz
Rynee 😇 :
Ila kwel 😂
2026-07-24 19:21:57
1
user5074202746618
user5074202746618 :
😂😂😂mimi kwakweli nanauli huwa ananipa kabisa
2026-07-24 15:59:54
1
To see more videos from user @mekicareercoach, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About