@vkbmedia: PAMBANENI MPATE KATIBA MPYA - Dkt Nchimbi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema endapo angepata nafasi ya kutoa neno moja la mwisho kwa Watanzania, angewasihi kupambana ili kupata Katiba Mpya itakayodumu kwa vizazi vijavyo. Akizungumza leo Julai 24, 2026 jijini Dar es Salaam katika Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu, Dkt. Nchimbi amesema mjadala wa Katiba Mpya umechukua zaidi ya miaka 40, huku juhudi za kuifikia zikianza tangu mwaka 1992. Ameeleza kuwa Serikali ya Awamu ya Nne ilianza mchakato wa Katiba Mpya, lakini changamoto kubwa ilikuwa wingi wa maoni na hoja za wananchi zilizohitaji kufanyiwa kazi kwa pamoja. "Kama nina kitu cha kuwaambia Watanzania, ningewaambia pambaneni mpate Katiba Mpya itakayodumu miaka 50, yenye mwafaka katika Taifa, itakayotusogeza mbele kwa miaka 50." — Dkt. Emmanuel Nchimbi. #VKBMediaUpdates

Van Kahise
Van Kahise
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 24 July 2026 10:27:32 GMT
13540
665
45
65

Music

Download

Comments

bino2889
Bino :
tunapambana na nani sasa wakati nyie ndo wenye Dola wabunge vilaza 😏
2026-07-24 12:30:56
5
hijaissa3
Hijaissa :
ww baba mpenda haki
2026-07-24 16:32:41
0
user65618138631576
banzi :
tupeni mitutu
2026-07-25 08:02:05
1
wanchagemoseti
wanchagemoseti :
unapendeza wewe nchimbi lakini pia wewe umo ccm...mwachilie Kamanda wetu lisu
2026-07-24 12:08:56
2
user3659323862681
filemon gusanka :
jamani huyo mzee mchimbi mungu ambaliki sana kweli kabisa
2026-07-24 12:09:30
2
sagranjr
Sagranjr :
point
2026-07-24 16:11:32
0
elipiditarimo2
Elipidi Tarimo :
Nashangaaa tunapambana na nani wakati nyie ndio tumewatu kuyakamilisha mambo ya watanzania tuambie ni nini kimewakwamisha maana hamjatuambia kuwa kinachokwamisha katiba mpya ni huyu kile au watanzania hawataki
2026-07-25 09:02:54
0
user5686306740081
khamisi :
ukosawamzee
2026-07-24 10:41:13
2
kindemamohamed
Mohamedkindema :
good 🥰🥰🥰
2026-07-24 17:10:07
0
gordiusmasillago
gordiusmasillago :
Alikuwa m/kiti uvccm kwa hiyo anafamu majungu management properly
2026-07-24 12:16:05
1
petermwakajila
@petermwakajila :
MH: hayo maneno unaweza kuyarudia kusema tena , au tu Roho wa bwana alikushukia. . maana umasikini wa watanzanua wengi umechangiwa sana na hayo uliyisema. Mwenyezi Mungu akupe kusimamia unayoamini!!!
2026-07-25 06:03:34
0
kayunnuni2
user9621914281122 :
hakunachochote kwanini asimushauli raisi kwama
2026-07-24 17:46:10
0
shekh_bashiru_mandwanga
Mandwanga land agency :
kweni Tunaserikali ngap nimetoka jela jana
2026-07-24 16:04:25
0
user6769635077270
Laz b wa madon kasika :
hii speech ni ya lini!
2026-07-24 13:12:27
0
aminaissah908
aminaissah908 :
Kaka sijaelewa yani Sisi tupambane tena kuhusu k
2026-07-24 19:53:07
0
roger.msimbe
ROGER MSIMBE :
michezo michezooo iyooooo
2026-07-24 16:12:25
0
rajabumsindo429
RAJABU MSINDO :
nisije nikawa naota jamani huyu yuko ccm kweri
2026-07-24 17:38:55
0
sidekamaside35
sidekamaside35 :
Ai au 😳😳😳😳kwahyo kumbe samia ndo anakwamisha au
2026-07-24 19:31:28
0
wakambini_
MBR TWO :
hii ni AI AU NI ..
2026-07-24 15:51:37
0
user5861716073160
Erasto Zawadi :
Sauti tulivu,yenye kutoa maneno ya busara na yenye kujiunganisha Taifa Mimi nmekuelewa Mzee wangu
2026-07-24 15:48:38
0
tichakinyei
tichakinyei :
@tichakinyei:SAWA MAKAMO ANZA WEWE KUTUPAMBANIA SISI TUTAFATA
2026-07-25 14:56:39
0
wakambini_
MBR TWO :
wananchi wameshatoa ya moyon kutaka mabadiliko ya katiba ... bali baada ya kuletwa bungeni muliikataa wabunge / watawala
2026-07-24 15:52:48
0
prosper.john4
Prosper John :
Ahsante Mungu wetu
2026-07-24 15:53:33
0
hdmnyama
HD BRAND :
neno pambaneni 🤣🤣🤣
2026-07-24 16:02:23
0
goldbows27
Nyabota jr tz :
hii ya lin jamn mbona nchimbi kama ndie rais wetu jaman au mnasemaje
2026-07-24 13:13:13
0
To see more videos from user @vkbmedia, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About