@bbcnewsswahili: Sakata la kisheria linalomkabili mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Melkisedeki Kaijage, limechukua mkondo mpya baada ya upande wa mashtaka kubadilisha shtaka lake na kumfungulia kesi ya ugaidi, kwa mujibu wa gazeti la The Citizen. - Bw. Kaijage amekuwa akishikiliwa na polisi tangu Julai 8, 2026, baada ya kukamatwa kwa tuhuma za kuchochea maandamano ya umma, kosa ambalo awali halikuruhusu dhamana. - @bosha_nyanje anaelezea - - #bbcswahili #tanzaniatiktok🇹🇿 #kenyantiktok🇰🇪 #ugaidi #udom #fypシ゚viral
bbcnewsswahili
Region: TZ
Friday 24 July 2026 10:57:01 GMT
Music
Download
Comments
Britain gold :
CCM tunawachekea sana
2026-07-24 13:00:03
141
annie :
kama serikali waifute cozi ya political science ili watu tusijefanya ugaidi
2026-07-24 13:41:04
91
the darkness of deep sea water :
Tanzania ni nchi au gereza
2026-07-24 11:58:14
74
mr.Evans :
kwan anafundisha kozi gani?
2026-07-24 12:07:32
36
mama amilen❤️ :
huyo ni mwalimu wa political science sa itakuaje 🥺
2026-07-24 20:08:32
25
winnie love :
Daaaaah hiii nchi bhana let me be silent coz mambo ni fireee
2026-07-25 00:22:23
0
Winni Frida :
tuonyesha video yake inayoonesha kuhamasisha maandamano au inayoonesha huo ugaidi kufanya lini
2026-07-24 12:17:29
27
Gift Mgana :
Aliniassess field huyu😭😭😭🙌🏾
2026-07-24 20:33:40
4
Prosper John :
Wananchi jaman tuamke tujue
2026-07-24 15:52:34
15
rebbytrish jr :
So painful
2026-07-24 21:16:26
0
kenedy G Y :
mwish wake Sas sis wananch tutachok maan haw viongoz wantuendsha wanavytak wao
2026-07-24 20:20:31
0
KAELA :
waangalie isiwe short term causes kam ya franz fanon
2026-07-24 15:41:39
0
YOUNG TALIBAN 🫡(طَالِباَنْ) :
justice for him
2026-07-24 13:25:10
0
sykes :
Afungwe tuu kama anataka kuvuruga nchi, alitakiwe awache uhadhiri arudi kwenye siasa kama mwenzake rweitama
2026-07-24 15:36:17
1
Paty Sanga :
sheria kweli zimetungwa kwaajili ya watu wachache
2026-07-24 20:01:51
8
Lissa❤ :
yani Tanzania imekuwa nchi ya ajabu
2026-07-24 14:27:24
7
Dee Pablo621 :
Nchiiiiiii yang🙌🏿🙌🏿🙌🏿
2026-07-24 12:24:05
7
Sweet Mangi :
picha limeanza kubadilishiwa kesi 😀😀
2026-07-24 13:09:02
11
SILVER 🩶 :
TANZANIA INATIA AIBU KAH
2026-07-24 12:22:54
7
john.chenga0 :
Tanzania amkeni nchi inakufa watu wachache sana wanaigaribu na mnawachekea
2026-07-24 16:16:11
6
Mr Africahistory :
Mwalimu wetu ni mtu mwenye utashi sanaa wala sio mtu mwenye mtazamo mbaya kuhusu siasa za Tanzania
2026-07-24 16:10:12
7
lgffumbuka :
UDAMASA wangemsaidia zaidi kama wangemkanya aachecharakati za CHADEMA azingatie Academics.
2026-07-25 09:47:34
3
phina :
jamani ugaidi tena muwe na uruma
2026-07-25 10:23:17
1
G4242 :
WHICH COUNTRY??
2026-07-24 15:13:54
1
Benny 🤫🤫🤫 :
nchi ya hovyo sana ndo mnataka maridhiano Kwa njia hii daah
2026-07-25 07:13:13
3
To see more videos from user @bbcnewsswahili, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.