@hiphop_neverdie73: Tega sikio tuliza ndonga upate madini na Fanani | msanii wa kwanza kufanya rap game kwa Tz #hiphopmusic #viralvideos #tiktokviral #viral_video #trendingvideo
sugu alikuwa version ya ngapi? mbona sisi tunajua sugu ndio alifungua hii rap music. miaka ya 94 tumeanza kumsikia sugu
2026-07-26 08:19:50
7
HAMIDU MPATE :
namimi najua ni SWALEH JABIR!
2026-07-30 10:43:35
0
Emmanuel Masanja :
saleh yuko wapi
2026-07-24 19:20:43
1
Alfred Mlaki Tz :
hii ni kweli kabisa ...sisi wakongwe tunafahamu aliitwa salehe Jabri
2026-07-28 08:37:21
2
Ndasco :
Nakumbuka mistari yake inasema, Niko, kwenye maiki ya umeme, nipo kwenye steji nayakata madebe, you aidonoo kusema mengine naona so. kitambo mbaya sana.
2026-08-02 19:44:10
0
Eidukweli87 :
HOME BOY SWALEH JABIR KATUNDU BABA YAKE ALIWAH KUWA MWENYEKITI WA DAR YOUNG AFRICANS
2026-07-26 08:17:53
2
omarymboika :
maisha ya kweli na vitamin music 🇹🇿🇹🇿 1 🫡 🙏🇹🇿
2026-07-25 08:33:00
1
Afro :
yes huyu yupo sahihi
2026-07-25 23:31:27
2
Brivu :
c kwamba hatu elewi ila lugha sanifu inayotumika na m2 ajuaye anacho kiwasilisha, respect 😇
2026-07-24 18:42:00
2
The Great Empiror :
walikiwa wanadraft nyimbo za nje!
2026-07-24 18:47:41
1
Ghullam :
kweli kabisa ww ndio umeongea ukweli wakati huo inaitwa swahili rap sio bongo flavour 🤝👊👊
2026-07-24 17:20:35
1
gtz :
Wakongwe wengi hasa ambao walianza kufuatilia mziki huu baada ya Sugu akiitwa Mr II alipotoa album wanamfahamu Sugu. lakin mjue kabla ya hapo wapo wengi walianza kujaribu jaribu na walikuw hawapati mapokeo mazuri kwa sababu huo mziki ulikuwa unaonekana kama ni uhuni tu toka USA. Humo ndo kina Saleh Jabir, Diplomatics, Saigon na wengne utawakuta. big up sana Fanani unaujua vzuri sana huu mziki ulikotoka. Kwa ufupi tu ni kwamba Huyu Fanani alikuwa anatisha kwa staili yake ya kurap akiwa na kundi la kina Prof J.
2026-07-29 03:03:36
1
D_k :
zanzibar ilikuwa tayr watu wanafanya hip hop na kurecord mpa vdeo
2026-07-31 21:58:04
0
GALAXYONE :
kabisa wewe una ijua history vizur sana kaa
hapo Kuna kina dj Kim
2026-07-31 15:39:14
0
ambele bravo :
Diplomas
sinza
2026-07-30 09:19:31
0
Oldschool DUD£🇹🇿🎤🎧🎻 :
Madini kaabisa
2026-07-29 06:45:12
0
Madini Saini :
ni kama amemsahau sugu
2026-07-24 18:33:13
2
Jah ki :
acheni kiki basi uyo Mzee wa hard blastaz anatafuta kiki
2026-07-26 18:52:03
1
veracity :
msanii wa kwanza Tz kwa hiki kizazi cha kuchorachora upope na mikono ni MTOTO WA DANDU,kutoka kanda ya ziwa Mwanza kwimba.Fuatilia utajua ni kwanini msukuma yupo mbele ya muda kwenye kila idara.
2026-07-28 09:18:40
2
ZOHAN 🎧🥶 :
👑👑👑
2026-07-24 12:46:43
1
Alfred Mlaki Tz :
nakumbuka varse kitu kimenikaa moyoni, sasa naamua kukitoa mdomoni, ...hii ni hakika @Alfred Mlaki Tz
2026-07-28 08:39:09
0
boyska tz paa :
😇
2026-07-29 19:46:34
0
Plata o plomo :
@Plata o plomo:watu wamwanzo kurap Bongo
1. Saleh Jabir (kariakoo) 1993
2. kwanza unit 1994
3.wagumu weusi Asilia 1995
4. Sugu 1995
5. Hard blasters 1996
6. GWM 1996
7. Dj Yusuph 1996
8. Xplastaz 1996
9. Diplomatic 1997
10. Hardcore unit 1998
2026-07-24 22:46:29
8
To see more videos from user @hiphop_neverdie73, please go to the Tikwm
homepage.