@eliaseshahu: Miaka inapita, lakini hekima ya Mwalimu Julius Nyerere bado inazungumza. Hotuba hii ya Dodoma, 1995, inafaa kusikilizwa na kila Mtanzania. #JuliusNyerere #HistoriaYaTanzania #Dodoma1995 #HotubaYaMwalimu#FYP

NABII SESHAHU
NABII SESHAHU
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 24 July 2026 12:40:07 GMT
59293
2008
73
647

Music

Download

Comments

enock.makoga
Enock Makoga :
mwalimu Nyerere utabiri wako unatimia
2026-08-15 10:18:14
3
abusagar.abusagar
Abusagar Abusagar :
aliiacha nchi Hoi bin taaban.
2026-08-17 05:22:48
1
kasibantetonny1
cruiser :
Hotuba kwa wote africa mashariki
2026-08-13 20:01:52
3
user204073441251
John kahimba :
neno lako litadumu milele kabisa mwalimu
2026-08-16 18:06:34
1
major.dube7
Major Dube :
Major Dube Yes 🥰
2026-08-14 10:31:39
1
hambagerald.hamba
HAMBAGERALD HAMBAGELE :
Kichwa kilikuwa kimetulia alikuwa anaandika headings kwenye karatasi ndogo ,lkn hotuba inasimama. penda Sana Mwl.
2026-08-12 08:46:23
2
daj2641
daj :
hilo ulijua vip haukujua kuwa kikwete angekula nchi
2026-08-16 07:51:01
0
user9734723716512
user9734723716512 :
ila huyu jamaaa alileta socialism. tukaumia na chawA, mateso na umaskin wa kupindikia
2026-07-24 20:28:56
0
user99202394537020
Daniel :
hakika ni baba wataifa
2026-08-17 06:48:31
1
allexjohn669
Allex John :
sema kiongozi wa kweli
2026-08-13 18:30:19
2
user9757558705663
peoples favourite :
mtumieni kikwete hii hutuba
2026-08-14 15:40:49
0
boscotheodory2
boscotheodory2 :
siku hizi hata huyu mwanzilish mwenyewe wana mpuuzia tena kwa hali ya juu mno
2026-08-13 08:44:17
1
o_s_a_k_a_
O_s_a_k_a_ :
Huyu ndiye alikuwa dira sahihi kwa Taifa letu la Tanzania.
2026-08-16 14:05:46
2
joseph.morandi
Joseph Morandi :
Rushwa Neno rushwa niJina linalowapendeza watawala,limeficha Uhalisia wa:Wizi,unyan'ganyi,ukandamizaji ,kudhalilisha utu,kutumia watu kimaslahi binafsi,ukupe,unyama,moyo wa shetani,moyo wa uchoyo,ulafi,nk uovu ndo rushwa !
2026-08-19 20:01:45
0
divie.queen
Divie Queen :
🥰🥰Tunakupenda sana Baba wa Taifa letu Mwl. Nyerere. Unaendelea kufuata mausi yako. Mungu aipokee roho yako Mbinguni
2026-08-13 17:38:00
1
babu.j02
Babu j :
rest and péase baba wa taifa
2026-08-14 20:38:45
1
hatibuhatibu990
0684268556 :
magufuli jeshi wamaana sanamtetea haki zabi adamu
2026-08-20 07:17:29
0
user5475040220579
urumur :
wa Tanzania mumemboteza huyo mwarimu na magufuri obeni mungu awapatie raisi a nayependa tanzania
2026-08-19 04:44:21
0
seleman.rashid.mg
Seleman Rashid Mgweno :
marais bora walikuwa kuwapata tena kama hawa ila mungu mwenyewe alete rehma yake akili zao zilikuwa kufikilia wananchi nadhiki zao matatizoyao sihawa,
2026-08-18 14:14:25
1
yohananyenza
yohananyenza :
mungu ampe pumziko la milele amina
2026-08-17 19:52:40
0
aloycelaiser3
aloycelaiser775 :
yote manne ni ya msingi
2026-08-21 17:11:29
0
omarybarua05
omarybarua836 :
sasa Cha moto wapinzani wanakiona kwa sababu ndiyo wanaokubalika kwa wananchi
2026-08-20 11:10:31
0
salmanmagwe
MAGWE :
ILA NYERERE ALITURUDISHA NYUMA MNO WATANZANIA, HAKUNA LA MAANA ALILOLIFANYA,KAZI NI KUONGEA TU NA KUTULETEA UJAMAA KATILI
2026-08-19 04:18:31
0
user9023106146914
user9023106146914 :
Mambo ya MUNGU yanaishi
2026-08-21 01:04:09
0
paskalsiame552
PASKAL SIAME :
Tanzania tunaemdelea kuwa masikini chanzo ni uongozi mbovu hivi kweli bado Tanzania tunauza mahindi ghafi nje ya nchi??? hivi mnaona nini kuanzisha viwanda vya kusindika unga ili muuze unga nje ya nchi afu zile pumba zitumikekulisha mifugo kwa kuwauzia wafugaji Na ukifuatilia zaidi hizo pumba zinatengezeza mpaka pombe kali.
2026-08-10 12:26:09
0
To see more videos from user @eliaseshahu, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About