ikifika zamu ya wanawake mniite nije nisimamishe nchi😂😂😂😂
2026-07-25 07:48:00
1995
SHIBOUB☎️ :
Kuna dada namtafuta huku TikTok alikuja ghetto akaniibia WIFI yangu🥺
2026-07-25 08:07:28
1000
juniorfurniture :
Kuna jamaa alikuja ofisin kwangu akaniulliza kitanda na bedside zake Bei gan nikamwambia 800k akanipaganga atakuja na demu wake uyo mpenzi wake anataka kitanda akijanaye tu mim niseme kitanda Bei yake 1.5 million kweli akaja mi nikasema Ivo Manzi akalia akadai ana million moja na laki tatu mi nikagoma kupunguza mshikaji akadakia usijar beby mi nitakuongezea 200k upate kitanda msichana Ali furahi na akanipa iyo 1.3 m nianze KAZI jamaa badae akaludi akachukua ganji yake laki 5 akanipa laki moja kwajiri ya zambi yake akaondoka na laki 4 pamoja na credit Kwa Manzi yake ko Manzi anajuwa amesaidiwa kumbe 😂😂😂😂😂😂😂
2026-07-24 22:04:17
1078
umaskini sio sifa :
kumwambia aje Getto kumbe nimehama
2026-07-24 17:00:43
576
s muuh tz 👣 :
Tiktok wamebadilisha LIKE zimekuwa nyeusi na hamsemi🤣🤣🤣
Niliheart break kipofu nikamrudia na sauti nyingine.
2026-07-26 15:23:16
93
Erick msafi :
wakristo wenzang tumsifu yesu kristo 🙏🙏🙏🙏
2026-07-26 12:49:18
180
Abdul Latifu315 :
nimetafuta comment ya alokula familia nzima ila hakuna😂😂😂 wanaume bado ni wema sana😅😅
2026-07-25 06:53:29
534
D A G Y :
SIJAWAH FANYA UGAIDI ILA NAFANYIWAGA TU😁
2026-07-25 07:06:29
156
kinnah :
waislam wenzengu tumswalie Mtume
2026-07-26 05:26:18
238
Al Watan Chui :
𝑁𝑖𝑡𝑎𝑟𝑢𝑑𝑖 𝐾𝑢𝑤𝑎𝑠𝑖𝑚𝑢𝑙𝑖𝑎 𝑇𝑎𝑟𝑒ℎ𝑒 30/9/2026 🙏😆
2026-07-26 05:46:00
1040
romic ❤️ :
nimegundua wanaume wapole sana🤣🤣
2026-07-25 06:41:44
72
salma :
tuna view profile kutokana na uzito wa comment😁😁😁
2026-07-25 10:45:17
63
letyxo 💫 :
nilikuwa offline ila imenibidi niwashe data kusoma coment😳😳
2026-07-27 07:36:35
17
.BAMBI.🌿 :
Nakumbuka mwaka 2016 niliitwa na bibi yangu kijijini DODOMA aliniambia mambo mengi sana ila maneno ninayoyakumbuka hadi leo aliniambia "mjukuu wangu ipo siku moja watu wengi watapoteza mda wao kusoma comment yako"
2026-07-27 18:15:39
6
.....🌸Ollie💃🍫.... :
vipenz 🥹 amkeni tuwaogope wanaume 😩 Kuna comment imeniogipesha
2026-07-25 06:32:07
479
danielpaul72 :
shida tukitoa ushuhuda wanakuja na maneno ya laana😅😅😅
2026-07-25 07:33:31
154
FaeWin 🧚♀️👑🏹 :
Nyie hamjui matukio mnajua ku cheat tu ikifika wadada mnitagi pleas😄😄😄😄
2026-07-25 18:08:14
84
✨Roxiepop_46jr🦋♒️❤️ :
WAKAKA WA COMMENT SECTION WOTE NAMUOMBA MUNGU MABINTI ZENU WAJE KUPATA WANAUME KAMA NYIE. AMEN🙏🙏🙏🙏🙏🙏