@mrvision40: Replying to @jemmy8631 maneno ya maumivu💔❤️‍🩹

𝗠𝗥 𝗩𝗜𝗦𝗜𝗢𝗡👁
𝗠𝗥 𝗩𝗜𝗦𝗜𝗢𝗡👁
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 24 July 2026 16:24:49 GMT
24587
1672
186
26

Music

Download

Comments

user6117948474245
rahimu :
nimepata mwingin anae kuzid Kila ki2 Hadi mapenz
2026-07-24 17:56:39
12
user5874611073058
Rose :
najuwa wanipenda ila naombaunisamee mim sjuhitaji kwasasa
2026-07-24 17:18:46
3
focusgontarfolight
💎👑 KING FOCUS GONTAR💎💎 :
mi nilikuwa kila nikimwambiha nakupenda Huwa ananiambh kumekucha Yani apo ndo nachokagah kabisa 😂
2026-07-28 06:29:43
2
user2082253053816
smoker zone :
sitakufany Kam daraja au njia ya maumiv niliy pitia mwanz
2026-07-24 17:53:48
4
mrvision40
𝗠𝗥 𝗩𝗜𝗦𝗜𝗢𝗡👁 :
ME:Tulikuwa na ka ugomvi tu akasema kwani wewe ushawahi kunifanyia nini..? unajua nini mimi nilikuwa nafosi sana kwajili yake ila ndo anakasema vile ah..sikujiuliza mara mbili nikamblock📵
2026-07-25 21:09:23
5
mysticsu2207
🦋mysticSu🦋 :
uongo wak ndo manen ambayo sito kuja kuyasahu hata sku mja daaah inaniumz mpak ss nikikumbuk jmn 🥺🥺😭😭😭
2026-07-25 20:07:32
1
user1605912483835
Ram young :
alie pitia ndo anajua maumivu yake hayafai ata kuadisia
2026-07-27 14:07:29
1
user62618433320598
Mr. kipozeo🤲 :
nais nilikosea kukupenda
2026-07-24 17:42:36
1
mziwandasadock
Man Dosinga :
nikiachwa kwa kile ambacho sina huwa silaumu sana, ukiambiwa huna pesa na huna kwel ndo sababu ya kuachwa it's okay never mind yuko sawa kukuacha. alisema niache kweli mtu ako na gari na ela 😂😂😂💔💔.
2026-07-24 18:19:45
4
francisgidion617
Francis Gidion :
m naona tuachanetu maana nimepata mwingine;; wew nimekuchoka
2026-07-24 16:32:48
0
user7358508394684
user7358508394684 :
aliniambia mengi sijui kama nitasahau forever and forever
2026-07-25 06:25:30
1
bloonycmd
㊗BLOONY ZONEY🧢 :
najua unanipenda ila me sikupendi
2026-07-24 17:08:44
1
user6707944578842
@Allen bizo tz "@ :
sijui tuko kwenye mahusiano yanayo husiana nanini
2026-07-24 18:39:56
2
user4533428417925
chioma♥️♥️ :
nipo na mamtu unatak umsalimie 💔🥺🥺
2026-07-24 17:44:50
0
rafili.aley
Rafili Aley :
nipo na mtu wangu kwa Sasa sikutaki Tena ila nikimwambia tuonane anakuja na cm yangu anapokea vzur ila soda nikimwambia turudiane anasima ananichkia sana
2026-08-07 17:11:22
1
sniper658m
sniper :
nipe Moja na Mimi maana kunamtu ninampenda lakini ananizingua sana
2026-07-24 16:31:57
0
jay.bunduki
JAY BUNDUKI :
kakosea unamwambia niombe msamaha yeye anajb kama vp ukiona cha nn wenzako wanawaza watakipata lini niliumia nikawa mdogo gafra nashukulu mungu sikua na nguvu ya kumuacha aliniacha yeye alienda mbali na mm myezi miwili asaivi ata akuniagaga
2026-08-18 19:23:07
0
officialamylah
official 💝 amyrah🦋🦋 :
mimi niliambiwa nakuchukia kutoka moyoni,Hadi ikafikia wakati nikawa sitaki kumuacha akaniletea mwanamke mwengine wakalala nae chumbani ili niondk🥹😭
2026-08-22 17:05:43
0
rukya.sheb
rukya sheb :
😭😭nmeshidwa mpaka kuongea kwakweri siwezi hinauma sn😭😭
2026-08-22 17:54:33
0
abedy.mov1
Abedy mov :
tumesha yazoea maumivu ya mapenzi tujuwane 🥺🥺
2026-08-20 21:43:30
3
nazarinemkumbo
Nazarine Mkumbo :
i love you
2026-08-20 20:55:41
0
swarasatykambaga
rumaytha :
aliniamby tupo wawili hawez kutuach sote
2026-08-20 17:53:56
0
gloryanderson3
DODO :
pole
2026-08-21 07:42:00
0
ommy84
ommy sniper :
kwan umenioa🙄🙄🙄
2026-07-24 16:35:27
0
To see more videos from user @mrvision40, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About