Waalimu kadhaa wa Kikristo wanakiri kwamba Yesu si Mungu na wanaukemea Utatu. Kwa mfano:
* Dr. Billy kutoka Congo anasema katika simulizi zake kwamba anayesema Yesu ni Mungu amekufuru na hataingia mbinguni.
* Ndacha, katika mahojiano mengi, anapinga kuwa Yesu ni Mungu; pia anasema Utatu ni ukafiri.
* Mwalimu Masawe naye anasema Utatu ni upagani.
* Mchungaji Mzee wa Upako anakiri kuwa Yesu si Mungu, na kwamba hakuwa Mkristo wala hajawahi kuingia kanisani, bali alikuwa anaswali kwenye msikiti wa Wayahudi (sinagogi).
* Dhehebu la Jehovah’s Witnesses pia linaamini kuwa Yesu si Mungu na linaona Utatu ni upotofu.
2026-07-24 19:34:24
1
To see more videos from user @baraka.rubeni007, please go to the Tikwm
homepage.