@msumbanews: Mkuu wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka amesema ni muhimu kufanya tathimini kwa nini Watu wanakuchukua Mikopo Umiza kuliko mikopo ya Benki. Mtaka amesema hayo wakati akizungumza na taasisi za fedha mkoani Njombe na kuongeza kuwa ni muhimu taasisi za fedha kuendesha shughuli zao kuendana na wakati. #MsumbaNewsBlog #rcmtaka #rcnjombe
Msumba News Blog
Region: TZ
Friday 24 July 2026 19:50:03 GMT
Music
Download
Comments
adelawello :
Ni kwel kbs bank unaenda kukopa wanakwambia akaunt yako iwe na mzunguko sasa kama akaunt Ina mzunguko mtu una kopa ya nn?
2026-07-25 05:46:37
5
💞#SPOCOTO9🧠 :
Usisubiri mazingira yawe mazuri ndipo uanze. Wanaofanikiwa ni wale wanaotafuta suluhisho, si wale wanaosubiri bahati.
💞 #DANI LIFESTYLE 💫
2026-07-25 06:20:50
1
usercfx247 :
2030 kuna haja ya kutafuta mtu mwingine au ndo tumeshapata?
2026-07-25 07:24:08
1
Mr. NMN Cps :
hao hawashaurikagi hata kidogo maoni ya Watu Huwa hawayafanyii kazi
2026-07-25 11:19:26
0
Chief utelezi :
Akili kubwa
2026-07-25 11:15:47
0
tammymwamkinga :
Akili kubwa
2026-07-25 05:30:28
0
KIZITO DAIRY BREEDERS :
mkuu wetu wamkoa ni mzee wa Fact tu yani hichi kichwa kibarikiwe sana
2026-07-25 03:43:53
0
christofa luhanjala :
karibu ilembula mkuu elimuunatoa hatashule hatukuipata
2026-07-25 10:08:30
0
Aggy Ar :
huyu mzee ana madini kweli kweli
2026-07-25 07:27:17
1
X_cocktails_drinks :
👏👏👏👏👏
2026-07-25 06:52:03
0
vaps49 :
🙏🙏🙏
2026-07-24 22:18:45
0
Rweba kuku-farm :
🔥🔥🔥🔥🔥
2026-07-25 04:35:42
0
To see more videos from user @msumbanews, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.