au sio ila yeye hataki kukaa senegal yupo USA🤣🤣🤣🤣🤣🤣
2026-07-25 13:17:21
0
sk!zøßœ :
yani kaka ni kwel mimi tu naenjoy kuzaliwa bongo na ni baraka kubwa sana kuzaliwa tanzania staki kwenda nchi yoyote ile kwanz wazungu hawatupend aseeh
2026-07-26 05:06:03
1
user2149947030597 :
point kaka
2026-07-26 05:02:21
0
mandulla :
😳😳😳
2026-07-26 03:59:33
0
Dos Tune :
Na mbona akon akatoka Senegal kwenda kuishi USA, yeye wakwanza kuisaliti Africa
2026-07-26 03:11:20
1
JA_MAIL :
kabsa brother
2026-07-25 22:16:19
1
abdulykibona :
wenyewe mbona wanakula
2026-07-25 21:58:25
1
ray🍒 :
hana mda mrefu nae watamclone
2026-07-25 16:31:32
1
iam_jozzey :
He is talking that and still he is in the USA🥺🥺🥺
2026-07-25 12:39:12
1
Nassor Said :
kaka uko vzr sanaaa
2026-07-25 11:32:14
1
nassor :
huna baya mungu anaona unavotupambani mungu akuepushe nakurabaya inshallah
2026-07-25 11:17:09
1
leostle26 :
unaeza tuambia kua alie thibitisha kua dunia ni flat ni mwafrika ama si mwafrika na kama sio mwafrika kwanini uamini kinachofanywa na awo white man at The same time unasema we don't need to trust them. tubakie upande apo
2026-07-26 14:28:07
0
aqda_man :
2026-07-26 17:16:41
0
Karimu Fadhili Hamisi :
pamoj kk
2026-07-26 12:14:23
0
Pius Gele :
ayo mahindi na marage ndo wametukuza bro
2026-07-26 08:37:33
0
heritage :
mzalendo yoyote wa nchi hutengenezwa na nchi yake kwa mifano bora ya uwajibikaji wa viongozi wake kuonyesha kuwa suala la inchi au taifa ni jukumu la kila mmoja katika maslahi ya mapana ya taifa lkn kiongoz akionyesha tu ubinafsi,kutojali,ufisadi,kutowajibika, hilo taifa halitaishi kizalendo mpaka wapate system mpya ya uwajibikaji na maono