@bongoplugtz: @One_Man 👑 #bongoplugtz

Bongo Plug
Bongo Plug
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 25 July 2026 11:51:19 GMT
498228
45190
689
6944

Music

Download

Comments

rilly5678
user93132951237586 :
mbn analamika lakn anipii ela 😔
2026-07-27 06:50:35
81
juma.abdullah2
juma abdullah :
nlitamani hii aiyone dem wangu na awe ananielewa😳
2026-07-25 18:43:32
188
mwajy75
Y'sher✨🧿 :
Itoshe kusema wanaume waongo basii🙏
2026-07-25 22:44:54
320
mchinaqeen8
MchinaQeen♋ :
sasa me anapinipiga.
2026-07-25 13:43:44
38
hazzal.love
hazzal love :
ukimjali sana tatizo
2026-07-25 11:57:52
110
beberu1982
BEBERU1982 :
KIUKWRLI MM NIMESHACHOKA KABISAA NAMTUMIA MTU MSG NDEFU YY ANAKUJIBU KWA MKATO NIMEONA BORA NIANGALIR MENGINE TU NIMECHOKA
2026-07-27 04:15:50
29
jamesjimmyjosiah8
jamesjimmyjosiah8 :
broo wewe katika watu wengi nimefatilia saikolojist wewe ndo umeweza kuniongelea mimi appreciate you but sometimes hatueleweki Tunabaki kujipenda na Kukuthamini coz kuanzisha mahusiano mapya everytime sio vitu vyetu Kuna muda hatuhitaji mpenzi,baby, sweetheart, Kuna muda unafika tunahitaji mtu sahihi wakupiga nae hatua nakufanya maisha na hiki kwangu ndo kipimo kwa mwanamke kwanza unapima uvumilivu na reaction zake kwangu kwamba anaelewa ninachokifanya kwasababu yake but I don't know akiamua kuondoka unamuacha aende japo utapita muda kidogo mpaka kupata mwingine ataekuelewa..🙏🎧
2026-07-25 23:55:58
68
bravoo..tz
Bravoo✌️ ✝️ :
Ifike mahali wanaume tujipende kwanza🙌tunajimaliza sana
2026-07-26 18:57:58
35
jackiema16
JackieMa :
Sasa ye analalamika ivo Ila m ndo taar nampenda mwanaume mwingine jmn nifanyaje ??
2026-07-27 18:06:44
5
modiddy41
modiddy41 :
Daah nisiongee sana. 🤔 nimekuja kugundua wanaume huwa tunaumia sana kuachana na mwanamke tunae mpenda walah🙏
2026-07-26 17:08:30
17
user947796947740
Judy :
Analalamika tatizo ni kuniomba pesa Kila mara...nimechoka mimi
2026-08-10 14:37:07
5
samwel.urioh
Samwel Urioh :
:nlitamani hii aiyone dem wangu na awe ananielewa😳
2026-07-28 06:17:46
10
user1580384811921
J love :
anae amini mapenz sahv yameishaaa nani 😂😂kunamda hat hujui mahusiano yanahusiana nanini
2026-08-05 07:04:43
8
machrina.patrick
Machrina Patrick :
Kwaiyo napendwa wakuu 😁
2026-07-26 21:49:56
13
ahmedahuwi
de_ahuwi :
ubaya huwa hawatuelewi na asilimia kubwa huw wanatuacha coz wanahis tunapend kuwafatilia na kuon kana kwamba tuna gubu💔😎😁
2026-07-25 20:21:04
24
smartjini0
xmart genius :
mbona kama unanigusa kaka
2026-07-25 23:40:48
13
fettymmoja
Sweet love :
mmmh kumbe numependwa hapa? Asante Mungu napokea
2026-07-26 04:16:40
9
user5630755594119
Billionaire 's Daughter 💕💕🎉 :
baada ya kututesa sisi Sasa nao wanalalamika.Wacha walalamike sanaa sisi tushawatoa kwenye mioyo yetu
2026-07-27 14:56:03
5
trixieriri
Miss Canada 💕 :
napigwa mimi
2026-07-26 06:29:41
13
evany.cost
evany cost :
Mimi wananiambiaga nalalamikaga so nikaamua niachan n mapenzi nitulie tyu bro
2026-07-26 05:09:46
26
lee.nihan
Lee🖤🤍 :
😳😳😳😳mm napgwa
2026-07-26 11:58:16
6
blessed.shuuh
Blessed Shuuh🤩 :
hivyohivyo kwa mwanamke pia☺️
2026-07-25 19:38:09
10
ommary.champion
Ommary Champion :
Upo sahihi san kak🤝
2026-07-25 22:15:11
8
mrcharles_17
Mr Charles💥 :
Ingia kwenye mapenzi ukijue Kuna kuachana hilo ndio suluhishoo, yani kiufupi usijimalizeee sana kwenye mapenzi
2026-07-26 05:19:49
16
negussa.nagasst
NEGUSSA NAGASST ✌️ :
wangu kaenda kuolewa kisa hyo yn ok so mbaya kila kitu ni chema🙏
2026-07-25 19:46:19
14
To see more videos from user @bongoplugtz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About