@kadoyecomics: TANZANIA: HECHE AWATAKA WANANCHI WOTE KUPIGANIA HAKI, "WANAFUNZI NA MWALIMU WAPEWA KESI YA UGAIDI, KILA MTU ATAFIKIWA" Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche leo Julai 25, 2026 akizungimza na Waandishi wa Habari jijini Mwanza amewataka Wananchi wote kupigania haki kwa sababu kila mmoja atafikiwa kwa wakati wake akitolea mfano wa Wanafunzi pamoja na Mwalimu 'waliobambikiwa' kesi ya ugaidi, amedai wakati Lissu anakamatwa na kupewa kesi ya uhaini walinyama. Aidha, Heche ametoa wito kwa serikali kuacha 'kubambikia' watu kesi badala yake wawaachie ili waendelee na maisha yako kwa sababu kupigania haki si ugaidi.

Ben_x22👔🧸🏆
Ben_x22👔🧸🏆
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 25 July 2026 12:31:39 GMT
21118
1521
55
53

Music

Download

Comments

deviskileo0
D7 SPARE PART TZ :
Wanfunzi vyuo vikuuu keep THINK
2026-07-25 17:41:21
4
ayubucharles6
ayubucharles222 :
what a perfect
2026-07-25 17:03:50
1
user4517337718186
user4517337718186 :
Kama kuna kaukweli kidogo
2026-07-25 18:00:03
14
anyelmwambela8
anyelmwambela8 :
Wananchi ni waoga na wanaogopa kupewa kesi ya uhaini na ugaidi
2026-07-25 14:23:44
16
micky.msafi
micky msafi :
Kaka unapamban san du inaumiza san tup na ww
2026-07-25 18:38:57
17
pascocomedy0
pascocomedy 0 :
tupambaninie hili jamani tusilale jamani hii hishuu ishakuwa kubwa maana siku Hadi siku ndio inazidi jamani tukiogopa kufa tataisha jamani
2026-07-25 18:14:41
4
funga4_
darbini kari :
kwaiyo kama mtu anakamatwa kabla yakujua kosa lake tuanze kupambana na serikali KUTAKUA na nchi au Acha kupotosha nakubali kutokaa kimya Kwa mambo yasio na kweli lkn lazima tueheahimu Sheria pia
2026-07-25 19:30:06
0
mdudu116
mdudu :
ni kweli kabsa 😳😳
2026-07-25 14:51:29
7
user755133595817
GM score :
hawajui waelimishe mkuu👌
2026-07-25 18:21:56
2
jimson4007
mgunda finest🙏 :
kwel
2026-07-25 13:35:52
6
mokela13
mokela :
mwachieni huyo mwalimu muliyemkamata. university is a free institution. wale wanafunzi ni watu wazima na wenye uwezo mpana wa kufikiri.
2026-07-25 18:38:53
2
elijah.chazzy
Elijah chazzy :
Dahhh to 🙏🙏🙏
2026-07-25 18:22:13
2
debora.zabron6
Debora Zabron :
walumu wafanye maamuzi make wao ndo wasimamizi wa kula
2026-07-25 18:19:49
3
user8625843804995
user8625843804995 :
safi sana baba unongea maneno yanayo tugusa
2026-07-25 17:56:47
2
kaloloerick
Erick kalolo :
heche wewe usalama wako vipi
2026-07-25 17:37:36
2
user4071054939101
Dada :
mmmmmh.Mungu atusaidie
2026-07-25 17:23:53
1
alimandojqdpastor
Alimandojqd Pastor :
ameni...!
2026-07-25 17:12:58
1
sammyvity1
Sam The Analyst ⚽🏀 :
heche tulia Kuna siku watu watatoka bila kuwahamasisha wenyewe watatoka
2026-07-25 19:47:53
0
magreth7051
Tufugeme malolo :
yaani mmepata Cha kuongea chadema
2026-07-25 19:28:31
0
thoryo4
Blackman :
tukimuunga heche mikono kama watanzania tutalinusulu taifa letu
2026-07-25 19:34:21
0
hans.procter
big seven 7 Dalali dodoma :
umeeleweka
2026-07-25 20:31:38
0
rama.jr816
Rama Jr :
wanangu wa UDOM tunakwama wap?
2026-07-25 20:02:37
0
user7273754865928
user7273754865928 :
ambacho nasukulu tu mimi saiv mnasema na tunasikia ila angekupewepo BABA yangu JPM mngekuwa kmy nakukumbuka sana BABA JPM
2026-07-25 19:57:53
0
fadhil.zakaria42
Fadhil Zakaria :
mungu akupe nafas zaid
2026-07-25 20:23:44
0
lazarolaizer32
Golden Kaka :
daah
2026-07-25 13:09:05
5
To see more videos from user @kadoyecomics, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About